Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hahahaha, huo ndio ujinga wenu, hamjui kitu na hamtaki kuonekana kwamba hamjui, jinga kabisa wewe.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Jaribu kutulia.
viaduct: Pronounce viaduct with Meaning, Phonetic, Synonyms and Sentence  Examples - YouTube
 
Luthuli Avenue

Hapa ndio wabongo huja kununua zile simu latest ambazo hazijafika kwa market za Tanzania.
May be an image of 4 people, motorcycle, street and road
 
Ndio maana basi umaskini ni mkubwa sana kunyaland kumbe KRA inakusanya mpaka car parking fees, billboards fees, markets fees, local business fees, real estate fees, building permits fees, local hospitals revenues hata ushuru wa mazao? Sasa hiyo devolution kazi yake nini?
Lazima wasubiri hela toka juu kwa hisani ya KRA na waziri wa fedha
 
hvi unaskiaje kusikia neno kua kenya kuna umaskini uliopitiliza kuliko zimbabwe ??😂😂 muko busy kujenga nchi miaka 55 na hakuna kitu mumefanya budaa?? leo zimbabwe ina afadhali kuliko kenya serious😂😂
Mbona unatafuta maneno ya kujipa moyo? Huenda tuko vibaya kuliko Zimbabwe lakini nataka uniambie kati ya 20 million na 28 million gani nyingi bongolala?
 
Jaribu kutulia.
viaduct: Pronounce viaduct with Meaning, Phonetic, Synonyms and Sentence Examples - YouTube
Then even Express way is the bridge according to you, because is the road ontop of concrete polls.

Hivi kwa mfano umeweka hiyo definition yako hapo juu, unadhani utamshawishi nani kuamini?, Lazima uweke "source", sio kila kitu kilichoandikwa ni sahihi, duniani Kuna wajinga wengi wanaoandika hovyo hovyo.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom