dickchiller
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 1,847
- 3,151
Lower level kwa Tanzania ni serikali za mitaa au vijiji ndio kazi ya TAMISEMI (tawala ya mikoa na serikali ya mitaa) kwa mfano TANROAD wanadeal na central government kwenye miundombinu ya barabara lakini TAMISEMI wapo na TARURA kuangalia miundombinu mbinu ya barabara kwenye serikali za mitaa/vijiji . Yaani kuna taasisi kama hizo kwa level ya local government pia na kuna za kitaifa zote zipo independentTunaongelea wizara kwa lower level of government.

