Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

All must admit the road network in Kenya is on another level. This is kitui one of the remote areas but see devolution is changing Kenya completely soon all of Kenya will be competing as individual blocks

Tunataka Streets Achana na highways za intercities

Ninyi mnaita devolution, Tanzania tunaita local governments na mlicopy kwetu

Tabora which is quite unpopular kabisa ina mtandao mkubwa wa modern streets zenye taa na modern road furniture ambazo hata Nairobi haiwezi kuwa nazo

Angalia kuanzia dakika ya 15 ujifunze kitu

 
Museveni ni mjinga sana aisee. UG bado ni LDC, wao wana gdp takriban ya $45 billion lakini wanatumia $1.2 billion kwenye military yao kila mwaka na ukumbuke hawana navy. Wanajaribu kushindana na Kenya na Gdp ya Kenya ni almost triple ya Uganda??? Wanashindana na ndovu kunya, watapasuka msamba. Wangeinvest kwenye afya, elimu na miundo mbinu ili watoke LDC. Unajua Uganda wamekaribia sana kutoka LDC. Museveni akiweka ujinga kando, watakuwa middle hata in the next two years kwa maana gni per capita yao imekaribia kufika ya middle income level.
Hili ndio tatizo lenu, kila nchi ikifanya Mambo yake lazima mseme inashindana na Kenya, hivi mpo na shida gani?.

Tatizo lengine mlilonalo ni kuona kwamba kila kinachofanywa na nchi zingine sio sahihi ila Kenya ndio mpo sahihi, hii tabia ndiyo inayosababisha Kenya kuzozana na majirani wenu wote.

Hivi unadhani kila nchi mtazamo wake ni kuonyesha ipo na GDP kubwa wakati hakuna chakula, maji, usalama Wala ajira kwa raia wake?.

Uganda hawana tatizo la chakula, wao tatizo kubwa ni usalama kutokana na historia ya nchi Yao na machafuko huko DRC, kwahiyo kuwa na bajeti kubwa ya Ulinzi inaeleweka.

Kenya mpo na matatizo ya msingi Sana, hakuna chakula cha kutosha, crime rate ni kubwa Sana, ukame unasumbua, maji ya kunywa ni shida, lakini kwa ujinga wenu mnatenga bajeti kubwa kupambana na Alshababs ambao hawana bajeti yoyote na kuacha kushughulikia Mambo ya msingi, bado eti mnawakosoa Uganda kwa kisingizio cha GDP wakati hakuna mganda hata mmoja anayekufa kwa njaa Kama Kenya.

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Tunataka Streets Achana na highways za intercities

Ninyi mnaita devolution, Tanzania tunaita local governments na mlicopy kwetu

Tabora which is quite unpopular kabisa ina mtandao mkubwa wa modern streets zenye taa na modern road furniture ambazo hata Nairobi haiwezi kuwa nazo

Angalia kuanzia dakika ya 15 ujifunze kitu


Local governments ya Mayors na madiwani ndio pia Kenya ilikua inatumia kwa katiba iliyopita. Devolution ni kitu tofauti sana na hio.
 
Local governments ya Mayors na madiwani ndio pia Kenya ilikua inatumia kwa katiba iliyopita. Devolution ni kitu tofauti sana na hio.
Devolution Kiswahili ni "Madaraka mikoani", Tanzania tulifuata hiyo miaka ya 70s na 80s, ilishindikana kutokana na sababu mbalimbali ambazo baadhi zimeanza kujitokeza na kupigiwa kelele huko kwenu, let's wait and see if it will work for long time in Kenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 


joto la jiwe umeona manufaa ya ziara ya Mama? Miradi ya zaidi ya $5 bln imesainiwa?
Ni mapema Sana kusema Hilo, kumbuka hata Kikwete aliahidiwa miradi ya fedha nyingi Sana lakini mingi haikufanikiwa ilibaki kwenye makaratasi, unakumbuka mradi wa kuigeuza Kigamboni kuwa Kama Dubai?, au mradi wa kujenga "light railway toka Airport tuliahidiwa na haohao Wamarekani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
 
Um
Ni mapema Sana kusema Hilo, kumbuka hata Kikwete aliahidiwa miradi ya fedha nyingi Sana lakini mingi haikufanikiwa ilibaki kwenye makarati, unakumbuka mradi wa kuigeuza Kigamboni kuwa Kama Dubai?, au mradi wa kujenga "light railway toka Airport tuliahidiwa na haohao Wamarekani?

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Umenkumbusha yule black amerca alotakaga kuwekeza kwe train 😂😂😂😂
 
Devolution Kiswahili ni "Madaraja mikoani", Tanzania tulifuata hiyo miaka ya 70s na 80s, ilishindikana kutokana na sababu mbalimbali ambazo baadhi zimeanza kujitokeza na kupigiwa kelele huko kwenu, let's wait and see if it will work for long time in Kenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Devolution kwa Kiswahili ni Ugatuzi. Transfer of power to lower levels of government. Bongo rais ndio kunyamba nyinyi ni kunusa. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Umewahi kuona ninachangia katika Mambo ya IT?, Ila katika uchumi na Science ya viumbe hai Kama Microbiology, Immunology, Parasitology, Pathology, Physiology, Opthalmology, Entomology, Pharmacology na huko kote, huyo Teargas ninaweza kumfundisha hadi apate PhD, japo nimeishia 'Form 4 failure's

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Ebu tingisha kichwa uconfirm kama Kuna kitu ndani. Wewe the only thing you know is making noise. The last time I had a debate with you was about albinism which you embarrassed yourself like no one's business.
 
Devolution Kiswahili ni "Madaraja mikoani", Tanzania tulifuata hiyo miaka ya 70s na 80s, ilishindikana kutokana na sababu mbalimbali ambazo baadhi zimeanza kujitokeza na kupigiwa kelele huko kwenu, let's wait and see if it will work for long time in Kenya

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Devolution has already worked and that's why you can see Kenya is far much ahead of Tanzania in every matrix.
 
Nchi maskini jeshi maskini

20220426_132533.jpg
 
Local governments ya Mayors na madiwani ndio pia Kenya ilikua inatumia kwa katiba iliyopita. Devolution ni kitu tofauti sana na hio.
Mzee local government sio majina ya viongozi, ni muundo kamili wa serikali kuanzia utawala, uratibu, mipango, mapato na umiliki wa mipaka (administrative boundaries)

Local government ya Tanzania ina budget yake tofauti, construction projects zake kama barabara (hizo kwenye video) schools, hospitals, bus terminals, public markets, public parks, public transportation, social economic investments na mambo mengine mengi ambayo hayahusiani na central government.
 
Back
Top Bottom