Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata hiz umescreenshot saa nne..kunaonekana ni usiku ila asubuh hii unasema upo nao kikaoni... "tukiwa" 🙄
ata kama sio leo, na jana je, na juzi je.!? btw i almost always screenshot everything including photos and dwnloads to reduce MBsize for convenience. ata hivo... kwani uko na hadhi ya kunipangania chenye nafanya. heb bambana na hali yako nanii...
 
Hujui lolote na sina haja ya kukuelewesha, Mwanaume mzima unatoa facts kwa kusikiliza majigambo? Nipo kwenye financial institutions tokea namaliza chuo, technologies tunazotumia TZ kwenye financial institutions hakuna wa kucompare hapa EAC isipokua maneno ya mtandaoni ndio watu wanaamini ujinga

Ushahidi wa kwanza, watumiaji wa hizo bank za kunya huwa wanaongoza kulalamika mtandao kusumbua.
Ila mimi na NMB yangu huwa tunapeta tu wala sikutani na hizo shida ndogo ndogo.

Kingine kwenye apps za mobile banking tunawachapa mapema sana wakunya.
 
Katika majengo yote ya Kunyaland hili ndio jengo zuri mengine ni upumbavu tu wa kuiga majengo ya watu mwisho mnatoa uharo, be creative, I don't think if this again is the copy and paste uharos, am in love with this building
Screenshot_20220424-122758.jpg
 
Ushahidi wa kwanza, watumiaji wa hizo bank za kunya huwa wanaongoza kulalamika mtandao kusumbua.
Ila mimi na NMB yangu huwa tunapeta tu wala sikutani na hizo shida ndogo ndogo.

Kingine kwenye apps za mobile banking tunawachapa mapema sana wakunya.
Huyo tuusan huwa anaropoka sn, ni mkenya huyo alivamia Tz.
 
Hujui lolote na sina haja ya kukuelewesha, Mwanaume mzima unatoa facts kwa kusikiliza majigambo? Nipo kwenye financial institutions tokea namaliza chuo, technologies tunazotumia TZ kwenye financial institutions hakuna wa kucompare hapa EAC isipokua maneno ya mtandaoni ndio watu wanaamini ujinga
Huyo tuusan huwa ana mihemko sn, pia ni rangi mbili achana naye.
 
Wow! Ulikuwa sober ukitype haya?
Hakuna nchi yenye GDP ya $77bn ikafanya mambo tunayofanya Tz, kuna infrastructures nyingi na zenye kutisha kwa gharama zipo Dar na huwezi kuzipata East and Central Africa ila hakuna infrastructure yoyote ambayo ipo Nairobi ikakosa kuwepo Dar.
 
Kwani kua kwenye financial institution inabadili nn?Wewe unajua mambo ya Tz au taasisi inayokuhusu zaidi hapa hatuzungumzii uzalendo tunazungumzia uwezo nani anauwezo zaidi,stick on agenda
Wewe wacha kuropoka ropoka, wewe c ni civil servant wewe? Mbona unaropoka sn? Huna data au mvivu kutafuta data? Tuna civil servant mizigo sn nchi hii.
 
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣

Tony254 dyfre MK254 Teargas Kafrican mwathadan Chill Njooni tucheke. Eti hizi ndio stadiums wanashinda wakitupigia kelele nazo.

Mwakwani stadium
112862_med_mkwakwani_stadium.jpg


Kaitaba Stadium

93969_med_kaitaba_stadium.jpg


Chamazi stadium
View attachment 2187148

Ushirika stadium
View attachment 2187149

Aman Stadium

24187362.jpg
Ingekua angalau wanatushinda Kwa mchezo wowote wa maana angalau wangekua wanaeza kufuta machozi Kwa kusema bado wanatushinda kimichezo licha ya kua na stadium za kuchekesha
 
Dada hizi data zimekosewa .
Data nilizotoa ni za bank of Tanzania Hao WB na IMF wanatoa BOT

Tanzania kuna uwekezaji mkubwa wa gesi mabilioni ya dola
Nchi husika ni Netherlands, UK, USA , Norway, Singapore

Kuna uwekezaji wa mabilioni ya dola wa mining nchi husika ni UK, South Africa , Canada , Australia

Kenya iliingiza $42 mil halafu unasema ni nchi yenye uwekezaji mkubwa 😂😂😂😂 kuliko nchi za wazungu 😂😂😂😂😂 acha utani .
Kenya uwekezaji mkubwa ni kiwanda cha karatasi mgololo na mashamba ya chai

Kiwanda cha dangote cha saruji na mbolea uwekezajj wake utazidi $1 bil

Kenya ipo chini sana bado
 
Ingekua angalau wanatushinda Kwa mchezo wowote wa maana angalau wangekua wanaeza kufuta machozi Kwa kusema bado wanatushinda kimichezo licha ya kua na stadium za kuchekesha
Hawa watu tunawapiga kwenye michezo zote. Utasikia wakisema eti wao ni wakali kwenye kandanda ila hata huko Harambee stars huwa inaipiga Taifa stars kama mbwa koko. So basically they are hopeless kwenye michezo. Sasa kwenye rugby hata hawana rugby team, hawa wanaume wa kukula chips mayai na kupiga konyagi unakuta mwanaume anafanana mwanamke atawezana na Rugby kweli? Riadha yaani athletics ndio hawawezi chochote. Netball na volley ball wapo zero.
Nyerere aliwaharibu hawa watu kwa kuwaletea mambo ya Ujamaa. Unajua ujamaa is all about sharing this, sharing that with your neighbour, no competition allowed. Unajua sports is all about competition ndio maana sports inawashinda.
 
Hujui lolote na sina haja ya kukuelewesha, Mwanaume mzima unatoa facts kwa kusikiliza majigambo? Nipo kwenye financial institutions tokea namaliza chuo, technologies tunazotumia TZ kwenye financial institutions hakuna wa kucompare hapa EAC isipokua maneno ya mtandaoni ndio watu wanaamini ujinga
Wewe weka ushahidi kwamba benki za TZ zina better financial technologies kushinda za Kenya sio kuleta masengenyo huku. Kenya ndio financial technology hub ya Africa yote. Mpesa ilivumbuliwa hapa Kenya. Visa juzi wameleta research lab yao Nairobi. Benki za Kenya ni kubwa kushinda zenu kiasi cha kwamba Benki ya nne kwa ukubwa Kenya bado ni kubwa kushinda benki yenu kubwa kabisa NMB. Weka ushahidi na upunguze uropokaji.
 
Dada hizi data zimekosewa .
Data nilizotoa ni za bank of Tanzania Hao WB na IMF wanatoa BOT

Tanzania kuna uwekezaji mkubwa wa gesi mabilioni ya dola
Nchi husika ni Netherlands, UK, USA , Norway, Singapore

Kuna uwekezaji wa mabilioni ya dola wa mining nchi husika ni UK, South Africa , Canada , Australia

Kenya iliingiza $42 mil halafu unasema ni nchi yenye uwekezaji mkubwa kuliko nchi za wazungu acha utani .
Kenya uwekezaji mkubwa ni kiwanda cha karatasi mgololo na mashamba ya chai

Kiwanda cha dangote cha saruji na mbolea uwekezajj wake utazidi $1 bil

Kenya ipo chini sana bado
umemaliza mzee

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Video imeanza vizuri, kidogo boooom ikarudi to default settings za Dar es salaam. 🤣 🤣 🤣 🤣 No single inch of side walk ndani ya hizi estate roads. Nyumba pia zinakaa vile zinataka.

 
Back
Top Bottom