Mimi sio muumini wa ugomvi hata kidogo .Kenya inazitegemea nchi zingine kwa sana kushinda hio nchi yenu mbovu. Ungeniuliza ningekueleza ni nchi gani hizi Kenya inazitegemea kistrategia na haiwezi kuzikosea. Lakini sio Tanzania. Nyie tumekorofishana hapa vibaya sana juzi wakati wa Magufuli au umesahau? Tulifungiana hata border. Unasahau haraka sana.
Usiombe kukutana na hii midude imechakaa aisee Tetanus nje nje!!Moshi wakutosha unafika home umelewa diesel njwiiiii!aa.. wee mzee nenda kalale.. mmda wako umeshazama. hivi hii graffiti, ata serkali ya kenya inaisupport sana. this is kenyas creativity and we even export them as far as durban, SA
yani kwako huu ni uchafu.!? ama ubunifu wa ainayakeView attachment 2198034View attachment 2198024View attachment 2198025View attachment 2198026View attachment 2198027View attachment 2198028View attachment 2198030View attachment 2198033
Hatuna muda wa kucopy vitu ambavyo haviongezi value yoyote kwa msafiri ama hata mmiliki, safari hizi fupi za mjini zinahitaji utulivu mkubwa kwani ndo muda mwafaka wa kuchakata mambo yako kichwani either unaenda kwenye mitikasi au unarudi,Bongo mziki wenye sauti kubwa hata kidogo abiria huwa wanalalamika upunguzwe!Kelele.eti kuna mwenye anadai tume copy paste pakistan. yani nimecheka yangu yote 🤣🤣🤣
View attachment 2198116
View attachment 2198112View attachment 2198113View attachment 2198115
Mtu anakwenda asubuhi kazini ama jioniHatuna muda wa kucopy vitu ambavyo haviongezi value yoyote kwa msafiri ama hata mmiliki, safari hizi fupi za mjini zinahitaji utulivu mkubwa kwani ndo muda mwafaka wa kuchakata mambo yako kichwani either unaenda kwenye mitikasi au unarudi,Bongo mziki wenye sauti kubwa hata kidogo abiria huwa wanalalamika upunguzwe!Kelele.
ati hekari 100,000? Hiyo kampuni ina wazimu? waonyeshe wamefanya nn huko Mtwara kwanza!Wewe ni mpumbavu na mshamba Sana,kwa hiyo kipimo cha thamani ya Rais ni kuonana na Biden?
Bila shaka aliyekuwa na hamu ya kuonana na Samia ni Kamala kwa sababu mwenzie ni Rais na mkuu wa Nchi mwenye amri zote ila Kamala hana hiyo status..
Samia alienda US specifically kwa ajili ya Royal tour,kuonana na wafanyabiashara wa US,state visit aliyoalikwa na Kamala na kukutana na Wakuu wa IMF/ WB,hao wengine ndio waliomba kuonana na Rais kwa sababu zao kadha wa kadha na kwakuwa Rais wetu sio limbukeni na mnyanyua mabega akakubari kuwasikiliza...
Sasa yupi Bora Kati ya aliyekuwa anapiga simu clouds kwenye vipindi vya umbeya na Samia anaekutana na Watu muhimu kwenye sekta mbalimbali?😂😂😂😂
Matunda ya ziara ni haya hapa 👇
View attachment 2198797
View attachment 2198798
View attachment 2198799
View attachment 2198800
View attachment 2198801
View attachment 2198802
View attachment 2198803
View attachment 2198804
Inshort ita madebe ya NairobiGari za Nairobi ni hizi huna la kutuaminisha hapa!
Huu ni uchafu wa jalalani
View attachment 2183577
View attachment 2183578
View attachment 2183579
Inshort ita madebe ya Nairobi

nna supporti sana hoja yako, ila uko na uhuru wa kuchagua madude zilizotulia kamavile cityhopper.. uhuru ni wakwako dogoHatuna muda wa kucopy vitu ambavyo haviongezi value yoyote kwa msafiri ama hata mmiliki, safari hizi fupi za mjini zinahitaji utulivu mkubwa kwani ndo muda mwafaka wa kuchakata mambo yako kichwani either unaenda kwenye mitikasi au unarudi,Bongo mziki wenye sauti kubwa hata kidogo abiria huwa wanalalamika upunguzwe!Kelele.
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jaribu kutulia, mkona hadi lorry za mbao.Naona Motor Vehicle na Non Motor Vehicle zote zipo sambamba zikielekea dorection moja
View attachment 2199087
Isuzu canter chassis sio? chai maharage?Naona Motor Vehicle na Non Motor Vehicle zote zipo sambamba zikielekea dorection moja
View attachment 2199087
no difference they r both chassis of cargo vehicles!🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Jaribu kutulia, mkona hadi lorry za mbao.
![]()
![]()
![]()
Naona Motor Vehicle na Non Motor Vehicle zote zipo sambamba zikielekea dorection moja
View attachment 2199087
Ni uzee. Nobody is forced to use matatus with loud music. Most young people like to listen to music. Older people like to travel in silence. There's a matatu for everyone's preferences.Mtu anakwenda asubuhi kazini ama jioni
anarudi umemuekea mziki mnene na tv juu,gari yenyewe iko very muscular,ni kupotezeana concentration!. Mazingira ya utulivu ambayo umekaa tu kutoka point A to point B husaidia pia kutafuta suluhisho ya changamoto zako zinazokukabili kwenye maisha. Hayo makelele yenu ni distortion kubwa I never liked it.
Hatari sana 🤣 🤣 munabebwa kama gunia ndani ya lorryIsuzu canter chassis sio? chai maharage?
Hamna tofauti!Hatari sana 🤣 🤣 munabebwa kama gunia ndani ya lorry
![]()
Naona Motor Vehicle na Non Motor Vehicle zote zipo sambamba zikielekea dorection moja
View attachment 2199087