Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

True, btw, the notion Tanzania has better stadiums than Kenya is very false. Ukitoa Benjamin Mkapa stadium hakuna kitu hapo. In Kenya we have so many small stadiums built by County governments huwezi hesabu.

Dandora stadium
dandora12-563x353.jpg


Bukhungu Stadium, Kakamega
Dpsqv8hW4AAzJ2J.jpg




Kirigiti stadium under construction, Kiambu

E_ejpvuXoAk1r2g.jpg
194206fa46f64f60a86d54c50a6f9033


download.jpg


Nyayo stadium, Nairobi

maxresdefault.jpg



Kenyatta Stadium, Machakos

FB_IMG_1565064577057-696x388-1740539.jpg


Kinoru stadium, Meru

maxresdefault.jpg


Joho Stadium, Mombasa

1*pc2laxWbZZMTxu6tunvHYg.jpeg
assistant slums capital of Nairobi

1_pc2laxWbZZMTxu6tunvHYg.jpeg
 
Sasa Kama Uganda waliweza kuwafurusha Mogadishu hawajisifu, vipi ninyi mnajisifu kuwafurusha Kismayu tayari wameshadhoofishwa na Jeshi la Uganda?
Nani amekuambia kwamba walidhoofishwa na Uganda? Wakati Uganda wanaingia Somalia Alshabab ilikuwa inacontrol Somalia nzima. Ilikuwa na nguvu ajabu. Baada ya kufurushwa Mogadishu na kuhamisha makao yao hadi Kismayu, bado Al shabab waliendelea kucontrol maeneo mengine yote ya Somalia isipokuwa Mogadishu. Sasa Uganda wenyewe walikiri kwamba hawawezi kuwafuata Al shabab kila mahali. Kenya iliondoa Al Shabab sio tu Kismayu ila Jubbaland yote. Jubbaland ni mkoa huko Somalia. Somalia ina mikoa minne tu. Mkoa wa Jubbaland ni mkubwa kushinda size ya Rwanda mara nne. Rwanda nne zinaingia ndani ya Jubbaland.
Screenshot_20220414-124635.jpg
Screenshot_20220414-124649.jpg
Screenshot_20220414-124706.jpg
 
no no no.... the fact still remain, anything associated with 500/- that's is either pirated, overprinted, corrupted, money laundered, questionable, controversial but generously distributed, is actualy wht am referring to as 'Jero' aka 'Jerongo'.. that name obviously originated from kenya, and derived from Cyrus Jerongo.... sijui Tony254 ako wapi atoe maoni yake

View attachment 2187093View attachment 2187094
Who's he and who knows all this? Is jero slang for 500 started in Kenya?
 
True, btw, the notion Tanzania has better stadiums than Kenya is very false. Ukitoa Benjamin Mkapa stadium hakuna kitu hapo. In Kenya we have so many small stadiums built by County governments huwezi hesabu.

Dandora stadium
dandora12-563x353.jpg


Bukhungu Stadium, Kakamega
Dpsqv8hW4AAzJ2J.jpg




Kirigiti stadium under construction, Kiambu

E_ejpvuXoAk1r2g.jpg
194206fa46f64f60a86d54c50a6f9033


download.jpg


Nyayo stadium, Nairobi

maxresdefault.jpg



Kenyatta Stadium, Machakos

FB_IMG_1565064577057-696x388-1740539.jpg


Kinoru stadium, Meru

maxresdefault.jpg


Joho Stadium, Mombasa

1*pc2laxWbZZMTxu6tunvHYg.jpeg
Hivyo ni viwanja au majaruba ya mpunga una vilivyo na mabonde kama matuta ya viazi.
 
no no no.... the fact still remain, anything associated with 500/- that's is either pirated, overprinted, corrupted, money laundered, questionable, controversial but generously distributed, is actualy wht am referring to as 'Jero' aka 'Jerongo'.. that name obviously originated from kenya, and derived from Cyrus Jerongo.... sijui Tony254 ako wapi atoe maoni yake

View attachment 2187093View attachment 2187094
Anyway let me go dipper

Miaka ya themanini katikati (1984 - 1986) Gari lililokuwa linaonekana la kisasa na la thamani kubwa lilikuwa ni gari aina ya Pajero.

Mitaani kukatokea kuthamisha pesa na pajero kama kitu cha thamani (rejea neno mpunga saivi lilivyochukua maana ya pesa) hivyo miaka hiyo 500 ilikua ni note ya thamani kubwa sana tofauti na kipindi hiki

Na hivyo kupelekea kuiita shilingi mia tano "Jero" kwa kufupisha neno Pajero.
Voucher za Jero-Jero zilikuta tayari Jero imepata umaarufu japo na yenyewe ilirejuvenate the slang Jero na kuipa uhai mpaka leo

500 ilikua na thamani kubwa

Screenshot_20220414-130653.png
 
Back
Top Bottom