Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwa mara ya kwanza kwa miaka zaidi ya 20 naona GDP ya Tz ikipanda kutoka 50 ambayo tumekaa hapo kwa miaka zaidi ya 20, bado nasisitiza GDP ya Tz ni $150b as of 2022. Magu alipandisha sn GDP ya Tz kwa muda mfupi, kutoka $90bn mpk $150bn ipo siku wataiweka hii figure watake wasitake, naona wanaelekea kukubali now, hakuna nchi yenye GDP ya $77bn ikafanya mambo yote haya tuliyofanya.
So Nini mumefanya imeisha inapandisha GDP? Kujenga daraja? Au kujenga interchange moja???? Au SGR haijaisha? Niambie what is supposed to rise your GDP drastically????
 
sasa unabisha na hauko Kenya...., tafuta mtu anaye safiri Mombasa ama mwenye ako kwa sasa Mombasa CBD, mwambie aulize maji 1.5lt street value.., kwa hawkers ni 50 bob.., kwa duka 35 or 40 bob unapata., pengine kama wewe ni wa akina Keringet and other brands found in supermarket shelves..., mbona nikudanganye, mimi sio mtanzania wakupenda propaganda.., ila on average maji ni cheap sana Tanzania, pia hilo nafahamu.., my argument ni kukujuza maji ya 50 bob kwa 1.5lt ukitaka utapata...,
Haya bas tumekuelewa..
Screenshot_20220422-190258.jpg


Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Mbona mnapenda kuongea uongo sana, Kenya hakuna maji ya 1 ltr kwa 50ksh, sijui unaongopa ili ikusaidie nini

Tena juzi kwenye makadirio ya budget wameongeza kodi zaidi so tegemeeni bei kupanda zaidi hivi karibuni

View attachment 2196377
Shida yako ni kama ni kiingereza basi, hapa nimekueleza vizuuuri ya kwamba Mombasa Maji ni cheap! Na nikaendelea kusema "it's much higher in Nairobi" Kumaanisha Nairobi ipo juu kuliko Msa. Same as your colleagues walisema maji sio cheap tanzania nzima ila ni specific places.
(So kama hujaelewa tafadhali niambie niandike kwa lugha ambayo unaelewa)
Well then, water is really cheap in Tanzania...
Good bottled water here in Mombasa goes for Ksh 50 for 1.5 L but it's much higher in Nairobi. You can find cheaper of course but you're also looking at good quality water and the price on average..
Do you have a link of an average store or online shopping platform where i can check everyday household products?

Like in Kenya kuna: jumia, kilimall, skygarden, glovo etc https://naivas.online/
 
Yapo, inategemea na brand.., kwanza ile ya 40 bob Mombasa ni 1.5l bottle.., nakuambia ukweli.., kama hii brand ya Aquamist 500 ml ni 25 1 lt itakua ngapi? na ujue 1lt haitakua double the price ya half a little, the higher u go the cheaper it becomes.., itachezea 45 or 48.., so approximately utapata na 55 to 60...,
View attachment 2196438
English ni shida kwa huyo jamaa, hata izo zilipanda, quencher ilikuwa 22 bob siku hizi ni 25 bob 500ml
 
Hamna maji 1.5lrs kwa 50ksh usikaze fuvu, hakuna medani inashindaniwa hapa
Sasa unaforce na sisi tunaishi huku 😅😅 sasa utasaidika aje? In fact huku Msa, wale watu wa water purifying pale kwa water dispenser hufanya refill ya 10L na 50 bob 😅 hebu nikipata time na nikikumbuka kesho nitapiga picha
 
Mkiambiwa maji kunyaland ni expensive ni Kweli tanzania price ya refill water verses kunyaland compare!
Note that this applies only for 20lts and it may be even be cheaper in some areas.
Mfano kanda ya ziwa watu wanatumia maji ya bottled water hata kuogea na kushika udhu😀😀😀😀View attachment 2196533View attachment 2196534
Kuna tofauti ya Refill na kununua buda...hapa unacompare vitu viwili tofauti kabisa
 
Back
Top Bottom