Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kuna hili daraja ambapo reli mbili MGR na SGR zitapishana
Screenshot_20220421-121404_YouTube.jpg

Screenshot_20220421-121424_YouTube.jpg
 
Hio report ina Link ya IMF unaweza icheki ni April report..Angola karudi cause currency imekuwa strong against USD na yenu imekuwa weak ..if you know what i mean

over last year imetoka 700 hadi 400 sio mchezo
View attachment 2195204View attachment 2195205
Ni sawa ila sio kwamba Angola katupita. Ni kwamba Imf inatabiri kwamba Angola itatupita ndani ya mwaka huu ila haijasema lini. Imf huwa inatoa forecast na outlook reports kila mwaka na pia inaweza kubadilisha outlook ya nchi fulani ikiwa unexpected things happen. Wacha nikupe mfano mzuri wa Ethiopia. Imf ilikuwa imetabiri kwamba uchumi wa Ethiopia mwaka wa 2021 utaingia kwenye triple digit club yaani $100 billion lakini baada ya vita kutokea ikailazimisha IMF kubadilisha utabiri huo. Utabiri sio lazima ufanyike, unaweza kufanyika au ukose kufanyika, Mambo yakienda sawa Angola watatupita lakini mambo yakienda kombo, kwa mfano bei ya mafuta ishuke sasa hivi, basi Angola haitatuona. Tatizo la Angola ni kwamba uchumi wao unategemea mauzo ya mafuta kwa asilimia kubwa sana. Unakuta kwamba zaidi ya 80% ya mapato ya serikali inategemea mauzo ya mafuta. Kenya upande mwingine ina diversified economy. Hatutegemei sector moja tu kwa hivyo growth ya uchumi wetu uko stable sana sana. Kinachoweza kuyumbisha ukuaji wa uchumi wa Kenya ni jambo moja tu, ikiwa kutatokea fujo kwenye uchaguzi. Otherwise hakuna jambo lolote linaloweza kufanya uchumi wa Kenya usikuwe.
 
Sikatai kwamba mna potential sana hususan kwenye mining na ndio maana ninasisitiza kwamba muweke nguvu zenu nyingi kwenye kuendeleza hii sector. Ila kwenye gdp huwa hatuhesabu future economic activities, kama tungekuwa tunafanya hivyo basi DR Congo ndio ingekuwa the richest country in the world kwa maana wao wana akila aina ya madini. Kwenye gdp tunaangalia current economic activity, yaani mnazalisha nini kwa sasa? Wachumi hawana haja ya kujua kama mna reserve kubwa ya gold, hio haina maana yoyote ikiwa hamna uwezo wala teknolojia ya kuchimba madini hayo.
We are working man..tuna potential na tunafanyia Kazi ..nahisi naye DRC ataanza kufanyia kazi
Screenshot_20220421-124443_Chrome.jpg
Screenshot_20220421-124738_Chrome.jpg
 
That report sounds fishy..but you can investigate...

View attachment 2195186
Hio ni outlook tu. Yaani forecast sio eti Angola imetupita. Imf inaforecast kwamba bei ya mafuta ikiendelea kuwa juu basi gdp ya Angola itapita ya Kenya within this year. But unajua forecast sio lazima zifanyike. Tuseme bei ya mafuta ishuke sasa hivi basi Angola haitapita Kenya. For me as long as we are growing at 7% I am happy coz our growth ni stable. Uchumi wetu hauyumbi yumbi kama wa Angola. Angola leo wana gdp ya @$120 billion, next year imeshuka hadi $80 billion kisha the following year imepanda tena. Growth yao don't take it too seriously, it is just a matter of time kabla bei ya mafuta ishuke tena uone gdp yao ikigonga mawe. Hakuna kitu kibaya kama uchumi ambao sio diversified na inategemea kitu kimoja tu kama Angola, bei ikipanda nyinyi mnapanda, bei ikianguka nyinyi pia mnaanguka nayo.
 
Back
Top Bottom