Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Angola kilichowashusha ni bei ya mafuta kushuka kwa hivyo thamani ya pesa yao pia ikashuka. Lakini kwa sasa kwa sababu bei ya mafuta imepanda kama wazimu sasa pia thamani ya pesa yao imepanda. Na kama ujuavyo Gdp norminal huwa inategemea nguvu ya sarafu ya nchi fulani dhidi ya dollar. Vile vile gdp norminal ya Sudan ilianguka kama mawe by more than 50% ndani ya miaka miwili wakati walianza misukosuko ya kisiasa miaka michache iliyopita. Sasa sishangai kwamba kuna uwezekano wa Angola kurudi nambari ya sita mwishoni mwa mwaka huu. Ila subiri bei ya mafuta ishuke baada ya vita ya Ukraine kuisha uone jinsi hio gdp yao itaanguka kama mawe. Sio kwamba gdp ya Kenya imepungua, ni kwamba gdp ya Kenya inaendelea kukuwa steadily ila ya Angola inapanda na kushuka bila msimamo. Kwa maana value ya currency yao inapanda na kushuka kwa mihemko zaidi.Haya GDP kutoka.kwa wapendwa wenu IMF
Naona Angola Imerudi kuwapiku..baada ya hela yao kupanda Thamani Tony254
Simon je Magu alikuwa anaonewa do we finally see the real figuers of Tz View attachment 2195153View attachment 2195154
Uchumi wa Kenya unaendelea kukuwa, subiri next week KNBS inatangaza gdp growth rate ya fourth quarter. Kenya inategemewa kukuwa kwa 7% mwaka wa 2021. Mwisho kabisa hizi ni outlook yaani forecast za IMF. Imf inatabiri tu kitakachofanyika 2022 sio kwamba imeshafanyika. Imf inatabiri kwamba sarafu ya Angola itaendelea kuwa strong na wataipiku Kenya kabla ya mwaka huu kuisha. Ila tuseme jambo lifanyike sasa hivi bei ya mafuta ipungue basi Angola hawatapita Kenya. Hii ni outlook, utabiri. Ni kama utabiri wa hali ya hewa tu, kuna kupata na kukosea katika utabiri.
na hapo ni nairobi jiji kuu na makaomakuu ya serkali ya kenya hawana vyoo wanategemea mifuko 
