Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ghana imeshawapita mzee. Na hamtaifikia Ghana. Hio ilishawaacha kubalini yaishe. Ghana sasa hivi ndio Africa' s biggest producer of gold wameipiku hata South Africa kwa kuproduce gold. Ghana pia kuanzia 2010 wameanza kuexport mafuta. Wanaexport zaidi ya 160,000 barrels per day. Halafu cha kushangaza ni kwamba mafuta yao ni off-shore kwa hivyo hakuna costs za kujenga pipeline kama EACOP. Ghana ndio second largest producer of cocoa in the world. Ghana ni wabaya wewe, wale wajamaa hawajalala. Hata Kenya tukicheza wale watu wanaweza kutufanyia madhambi kama walivyowafanyia nyie. Halafu ni watu 30 million pekee. Ni aibu sana, wao ni weusi kama sisi lakini wako vizuri.
Niliambia mtu hapa Ghana iko juu ya Tz by far on standards of living, na wao wana idharau Ghana, wengi wanaongea kuishabiki tu, hawachunguzi kupata uhalisia.
 


Hii hawataki

20220324_161354.jpg

Amazing what a change of perspective can reveal 😂
 
Nani amekuambia kwamba Kenya wholly depends on FDI? Nyinyi mkipata FDI nyingi mnajisifu. Kenya tukipata FDI hata kidogo mnaanza kusema FDI ni mbaya. Yaani siku hizi umelower your standards sana. Kuna time ulikuwa unachangia vitu vya maana siku hizi unachangia tu posts za wivu.
Mbona kama "umengonjeka"?
 
Only 100 Kenyans will be employed by Google office in Kenya vs millions Tanzanians across the country, most of them are self employed

Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
You are so Naive dude...you have no idea the kind of knowledge/skill transfer, the exposure, let alone establishing Nairobi to a tech hub in Africa, you're just looking at direct jobs...makes me question your level of education..
The kind of transformative products and services which will be developed will have a huge impact to the people in general.
It will also provide a platform for Researchers which could lead to lot's of start-ups coming up (how'd you think M-pesa came to be)
It's a dream come true for visionary engineers, product managers, UX, UI designers and learners-now that coding is in the syllabus,you dont have to fly to California for benchmarking.
Not to mention easy access to fast and cheap internet services...

Such developments from multinationals have a huge ripple effects in developed countries,let alone middle income/developing countries. There would be a huge impact if google opened a tech hub in say another US state... Did you see what happened when they moved Boeing from Seattle to Chicago?

And you here comparing a whole Google tech hub to a mining expedition which only provides you with food for today...
 
You are so Naive dude...you have no ideas the kind of knowledge/skill transfer, the exposure, let alone establishing Nairobi to a tech hub in Africa, you're just looking at direct jobs...makes me question your level of education..
The kind of transformative products and services which will be developed will have a huge impact to the people in general.
It will also provide a platform for Researchers which could lead to lot's of start-ups coming up (how'd you think M-pesa came to be)
It's a dream come true for visionary engineers, product managers, UX, UI designers and learners-now that coding is in the syllabus,you dont have to fly to California for benchmarking.
Not to mention easy access to fast and cheap internet services...

Such developments from multinationals have a huge ripple effects in developed countries,let alone middle income/developing countries. There would be a huge impact if google opened a tech hub in say another US state... Did you see what happened when they moved Boeing from Seattle to Chicago?

And you here comparing a whole Google tech hub to a mining expedition which only provides you with food for today...
seems this guy is only focused on pple, who will get employed directly.. but where their ll be more weight, are pple who will be indirectly affected by virtue of google's presence in the land.. please tell him to take the case of mpesa for instance, how many pple it has employed so far till date.!
 
Hata ingekuwa hivyo bado ni cheapest by far compares to Kenya

View attachment 2195997
1.6 ltr 25ksh


Well then, water is really cheap in Tanzania...
Good bottled water here in Mombasa goes for Ksh 50 for 1.5 L but it's much higher in Nairobi. You can find cheaper of course but you're also looking at good quality water and the price on average..
Do you have a link of an average store or online shopping platform where i can check everyday household products?

Like in Kenya kuna: jumia, kilimall, skygarden, glovo etc https://naivas.online/
 
Well then, water is really cheap in Tanzania...
Good bottled water here in Mombasa goes for Ksh 50 for 1.5 L but it's much higher in Nairobi. You can find cheaper of course but you're also looking at good quality water and the price on average..
Do you have a link of an average store or online shopping platform where i can check everyday household products?

Like in Kenya kuna: jumia, kilimall, skygarden, glovo etc https://naivas.online/
Mbona mnapenda kuongea uongo sana, Kenya hakuna maji ya 1 ltr kwa 50ksh, sijui unaongopa ili ikusaidie nini

Tena juzi kwenye makadirio ya budget wameongeza kodi zaidi so tegemeeni bei kupanda zaidi hivi karibuni

Screenshot_20220422-134509.png
 
Well then, water is really cheap in Tanzania...
Good bottled water here in Mombasa goes for Ksh 50 for 1.5 L but it's much higher in Nairobi. You can find cheaper of course but you're also looking at good quality water and the price on average..
Do you have a link of an average store or online shopping platform where i can check everyday household products?

Like in Kenya kuna: jumia, kilimall, skygarden, glovo etc https://naivas.online/

Screenshot_20220422-135601.png
 
Mbona mnapenda kuongea uongo sana, Kenya hakuna maji ya 1 ltr kwa 50ksh, sijui unaongopa ili ikusaidie nini

Tena juzi kwenye makadirio ya budget wameongeza kodi zaidi so tegemeeni bei kupanda zaidi hivi karibuni

View attachment 2196377
Mbona kufanya utafiti hauwezi?.., Keringet is the most expensive mineral water.., bei ziko tofauti kulingana na kampuni na duka pia.., in Mombasa kwa streets na duka zao downtown na nunua bottled maji 1lt 40bob!!.., 500ml 20bob..,

mfano, bei in Carrefour..,
1650625532823.png

1650625813816.png

1650625827499.png
 
Kwanini mnasema yapo maji ya 1.5lrs kwa 50ksh wakati si kweli?
Yapo, inategemea na brand.., kwanza ile ya 40 bob Mombasa ni 1.5l bottle.., nakuambia ukweli.., kama hii brand ya Aquamist 500 ml ni 25 1 lt itakua ngapi? na ujue 1lt haitakua double the price ya half a little, the higher u go the cheaper it becomes.., itachezea 45 or 48.., so approximately utapata na 55 to 60...,
1650626798847.png
 
Back
Top Bottom