Tony254
JF-Expert Member
- May 11, 2017
- 16,016
- 16,433
Huyo ni mtu wa lab. Sio nesi. Yeye anadeal na bacteria na virus. Huoni incubation machines pale? Anaweza kukutumia kifurushi cha kirusi cha ebola ukaanza kutokwa na damu sehemu nyeti. Usimchokoze wewe.Picha haina evidence, aweke maelezo tujue uhalali wa picha, hii comment yako tu inaonesha huiamini hyo picha. Mtu yuko JF 24/7 anatoa huduma saa ngp, bora angekuwa ofisini mfano muhasibu tungempa excuse co hospital. Nurse anapata wapi muda wa kuwa mtandaoni masaa 24![]()


