Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

How drainage is done on an elevated road in two Cities.

NAIROBAE 😀

FQpQjIKWQAgnroo.jpeg


DAR CITY😎

FQomIeLXMAEWGjr.jpeg


Pale mjini Nairobae kama mvua inanyesha na maji yanadondoka kwenye hilo bomba mi napita hapo na kufanya Car wash😀
 
I don't remember anywhere Tanzania used "somebody na Kazi" tangu ipate uhuru. Na kama the word "Kazi" ndio inakunyima usingizi, hiyo pia I don't remember the day Tanzania patented the word "Kazi".
sema hujui na umezoea kudanganywa kama ilivyo kawaida ya wakunya. Uhuru na kazi ilikuwa ni slogani ya Tanzania kabla na baada ya uhuru, mnanachokifanya wakunya ni kucopy na ku paste tu
 

Attachments

Ni kweli mnatulisha, ni kweli mmeshikilia uchumi wetu wa Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani nyie wapuuzi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli nyie ndio Developed kantrii Africa [emoji23][emoji23][emoji23]

Failed State, China Country Kunya land

Ma Architecture Bora zaidi ukanda huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Failed State China Country Kunya land
JamiiForums-578171687.jpg
 
Ni kweli mnatulisha, ni kweli mmeshikilia uchumi wetu wa Tanzania [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Yani nyie wapuuzi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kweli nyie ndio Developed kantrii Africa [emoji23][emoji23][emoji23]

Failed State, China Country Kunya land

Ma Architecture Bora zaidi ukanda huu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Failed State China Country Kunya landView attachment 2192656
Wapi evidence kwamba huku ni Kenya?
 
sawa tu na majani chai au cut flowers...... hizi mabasi mzuri pia tunavitengeneza kwa wingi na kuviexport mingi yao kushinda local consumption.. hehe.. kisa hatuna vast geographical land areas ka nyinyi
Kwahyo hzo sehem nyingne hawaishi watu..

Sent from my Nokia C1 using JamiiForums mobile app
 
Wapi evidence kwamba huku ni Kenya?
Screenshot_20220419-100327.jpg
Screenshot_20220419-100653.jpg
Screenshot_20220419-100412.jpg
 
watanzania kitu gan tuko proud nacho dhidi ya wakenya ambacho kimefanywa au kimeanzishwa na serikali ya sasa? aise we really need leaders with great vision!
also tbh, we’re really now living in a hopeless country [emoji3525]
Ukiendelea kuendekeza Chuki utaishia kuandika Rubbish 🚮🚮🚮

Zama za kiki hazipo usipotafuta taarifa utaumia Sana,Bunge la bajeti linaendelea kila wizara inaeleza kilichofanyika na kitakachofanyika.

Tuna zaidi hospital 28 ,vituo vya afya 233 vipya,miradi ya maji ndio utitiri nk nk.

Hiki ni nini? 👇

Screenshot_20220410-090506.png


Screenshot_20220327-172335.png




Screenshot_20220414-124841.png


Screenshot_20220414-124938.png
 
Tatizo la wakunya ni kupenda mteremko na vya bure, uhuru na kazi ni slogani ya TANZANIA kabla na baada ya uhuru, wakunya awe kenyatta baba, kibaki ni watu wa kucopy na ku paste tu!
Halafu kinachonishangazaga ni confidence ya upumbavu wao, wanayo confidence kubwa wanapoongea upumbavu kuliko wanavyoongea facts
 
Back
Top Bottom