Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ata tukiondoa all food imports kupitia Mombasa port, bado Mombasa port itaizidi Dar port tena kwa mbali in terms of exports and imports.., usijitekenye๐Ÿ˜›
Says the young men, who can't even bring up the figures to backup his claim
 
Ata tukiondoa all food imports kupitia Mombasa port, bado Mombasa port itaizidi Dar port tena kwa mbali in terms of exports and imports.., usijitekenye๐Ÿ˜›
Says the young men, who can't even bring up the figures to backup his claim
 
Ata tukiondoa all food imports kupitia Mombasa port, bado Mombasa port itaizidi Dar port tena kwa mbali in terms of exports and imports.., usijitekenye๐Ÿ˜›
Says the young men, who can't even bring up the figures to backup his claim
 
Only in Nairobi. Three multinationals hapo.
BMW, PWC, ORACLE

Image
 
Mambo yanavyoenda TPA itakuja kupindua meza kwa KPA kwenye cargo


MY TAKE
So far EACOP itapita Tanga, SGR Tanzania Dar-Mwanza (80% of the whole length is underconstruction)
SGR Uvinza-Msongat-Gitega-Bujumbura-Uvira-Kindu fedha zimepatikana toka AfDB Bank na tender ipo katika manunuzi!
Kwa sasa navyo jua vipande vyote toka dar mpka mwanza kuna kandarasi ukijumlisha na ile waliyo saini kuanza ujenzi juzi...mbona umesema 80%?
 
Mafuriko yanasababisha vifo huko SA. Sasa sijui kama team roho mbaya pia watasherehekea hili janga kama ambayo wao husherehekea majanga yanayotokea Kenya?

Mbona umekuw na desparation kiasi iki? What exactly are you try to prove
 
Mama anaupiga mwingi asikwambie mtu, sukuma gangs imekula kwenu rudini Chato ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚


Kwanza hii ndio raha ya uwazi na Bunge live na kuwapa uhuru wabunge..Hakuna mbunge angethubitu kuibua haya chini ya Dhalimu..

Pili Rais ameamua kuifumua MSD kutoka kwa mateka wa sukuma gang ambao waliwekwa.strategicaly na Mwendazake kwa ajili ya upigaji.

Hali hii ilikuwa hivyo kule Tanesco, Nyerere Hydro,bandarini,TRC nk..Hatua kwa hatua lazima wang'olewe..
 
Watu wanatekeleza 'kula kwa urefu wa kamba zao'

Sukuma gang naona mnajitahidi kuonyesha haya..

Kwa taarifa yenu tuu hii ndio raha ya uwazi ,wapigaji wote ndani..

Mimi Nina miradi ya upigaji kama hii ambayo watu wamepiga na hakuna aliyethubutu kuwaripoti popote kwa sababu za kuitwa wateule wa Mwendazake..

Mmja wa huo mradi fanya rejea ya ziara ya Mwendazake mkoa wa Rukwa,ziara ya SSH mkoa wa Mara nk nk..

Sasa hivi uwazi utasaidia kuibua madudu,ndio maana hata Bunge unaona linaibua uozo mwingi wa Hali ilivyokuwa kiasi kwamba hakuna wapinzani lakini Bunge ni moto.
 
Hili sasa limekuwa jukwaa la kupiga siasa na kuibagaza nchi yenu, wabongo mnapenda sana kujichoresha, sijawahi kuona wenzetu wanaleta posts za kikuda kama hizi humu, mnacheza na adui alafu mnajipiga magoli? alafu mnajiita Wazalendo? Majukwaa mengine hamyaoni? Mambo ya kisenge sana haya.
Yanga vs Simba....Team Sukuma gang vs Team Samia &Co..

Team Washamba vs team watoto wa mjini.
 
Back
Top Bottom