Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nauli lazima zipande hawa hili swala la mafuta wanalichukulia simpo sana na hapo bado bei ya vyakula haijaanza kupanda na itapanda tuu ni swala la mda
Hata ifike million utanunua tuu,hutaki uza Cha kwako Kwa bei ya chini au hamia bei ilikoshuka.

Sisi tunaendelea na Kazi 👇

Screenshot_20220413-205857.png
 
Kenya hawajitambui, walijistukia kuona nchi nyingi za Africa zimejitenga na msimamo wa Kenya
Kale kabalozi ka kunyaland cha UN kalitia aibu sana mwanzoni mwanzoni mwa vita ya ukraine,hapo mungiki wamechange gear angani baada ya kuona misimamo ya mataifa mengine ya kiafrica na asia,mungiki masnitch sana aisee!
 
bado iko kwenye investment period unategemea faida au aviation business huijui ???
Mkumbushe kwamba lile deni limeshapunguzwa kwa asilimia 50% kwa kipindi kifupi tu cha miaka isiyozidi mitano ya operation since revival of the national carrier.
 
ona hiii 🤣🤣🤣👇👇👇👇 nye nye nye



Sisi tunaongelea kuhusu nyinyi..how can you buy more planes and yet you are making losses..Hakuna siku mushawai pata faida..why dont you lease then..ni wapi ulishawai sikia ndege zinanunuliwa cash...Nani kawaroga...
 
Sisi tunaongelea kuhusu nyinyi..how can you buy more planes and yet you are making losses..Hakuna siku mushawai pata faida..why dont you lease then..ni wapi ulishawai sikia ndege zinanunuliwa cash...Nani kawaroga...
sisi tumepunguza hasara kutoka 60b to 36b within a year 🤣🤣👇👇👇 unafkiri tunaeza kufanana hata kwa dakika moja au ww hujui Air tanzania bado iko kwenye investment period ??
7DC8BAE4-3A94-433B-846C-B4A02B06D4CB.jpeg
 
Sisi tunaongelea kuhusu nyinyi..how can you buy more planes and yet you are making losses..Hakuna siku mushawai pata faida..why dont you lease then..ni wapi ulishawai sikia ndege zinanunuliwa cash...Nani kawaroga...
😂😂😂😂 kinachowauma nyinyi sisi kununua ndege mulitaka tukodi zenu chakavu?? kq ina miaka 50 inamiliki ndege tatu chakavu serious??

yani shirika limeingiza hasara ya 15.8b ksh(140m usd) na bado kuna pesa imetumika kuliwezesha shirika 50b ksh (450m usd) tena ni loan

hvi mulirogwa na shetani gani🤣🤣

 
sisi tumepunguza hasara kutoka 60b to 36b within a year unafkiri tunaeza kufanana hata kwa dakika moja au ww hujui Air tanzania bado iko kwenye investment period ??
View attachment 2186611
Hapo manaake mwakani shirika litaanza kujiendesha kwa faida, niliwaambia mm naona kwa macho yangu mawili jinsi ATCL inavyopiga biashara wakabisha
 
Back
Top Bottom