Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hili sasa limekuwa jukwaa la kupiga siasa na kuibagaza nchi yenu, wabongo mnapenda sana kujichoresha, sijawahi kuona wenzetu wanaleta posts za kikuda kama hizi humu, mnacheza na adui alafu mnajipiga magoli? alafu mnajiita Wazalendo? Majukwaa mengine hamyaoni? Mambo ya kisenge sana haya.
Jukwaa la siasa lipo lakini hao wanaoleta habari za siasa humu uwakuti kule,utakuta wanaleta humu,mara wamponde magu mara wamponde SSH,wanazingua sana!
 
😂😂😂
20220413_204900.jpg
 
Ndo kupigwa mwingi huko mkuu 🔥
Hatimaye Serikali ya Samia yazidi kuupiga mwingi kwa kutimiza ahadi ya kutoa ajira zaidi ya 32,000..Maneno kwa vitendo

Kwa mwaka mmja wa Samia zaidi ya watumishi 45,000 wameajiriwa na wengine zaidi ya 92,000 wamepandishwaadaraja bila visingizio vya kitoto eti tunajenga miradi.👇

Screenshot_20220413-204729.png
 

Attachments

  • 4913454-1790438ade9bf3573e6d0aadcb6b70d0.mp4
    4.9 MB
Back
Top Bottom