Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mama anaupiga mwingi asikwambie mtu, sukuma gangs imekula kwenu rudini Chato [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]



Hili sasa limekuwa jukwaa la kupiga siasa na kuibagaza nchi yenu, wabongo mnapenda sana kujichoresha, sijawahi kuona wenzetu wanaleta posts za kikuda kama hizi humu, mnacheza na adui alafu mnajipiga magoli? alafu mnajiita Wazalendo? Majukwaa mengine hamyaoni? Mambo ya kisenge sana haya.
 
Mambo yanavyoenda TPA itakuja kupindua meza kwa KPA kwenye cargo


MY TAKE
So far EACOP itapita Tanga, SGR Tanzania Dar-Mwanza (80% of the whole length is underconstruction)
SGR Uvinza-Msongat-Gitega-Bujumbura-Uvira-Kindu fedha zimepatikana toka AfDB Bank na tender ipo katika manunuzi!
Keep on dreaming

Screenshot_20220413-183128.jpg
 
Hili sasa limekuwa jukwaa la kupiga siasa na kuibagaza nchi yenu, wabongo mnapenda sana kujichoresha, sijawahi kuona wenzetu wanaleta posts za kikuda kama hizi humu, mnacheza na adui alafu mnajipiga magoli? alafu mnajiita Wazalendo? Majukwaa mengine hamyaoni? Mambo ya kisenge sana haya.

Yule mzee alikuwa sahihi sana kwenye kutaka kuanzisha lile somo la historia.
 
mbona hii hujapost kwamba imepunguza loss from 60b to 36b ww huoni gap kubwa sana hilo ??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]
View attachment 2186341
Alichagua inayomfurahisha, kwa taarifa yake tu ni kwamba imebaki miaka michache kabla ATCL haijaanza kupiga faida mana biashara ni nzuri sana.
 
Sasa mnakataza gari za 2010 ambayo ni 12 years ago wakati sisi tumekataza gari za 8 years ago kuingia? Sasa mlikuwa mnatudhalilisha kwa jambo gani ikiwa tuko better than nyinyi kwenye hili swala?
Wacha kuamisha goal, point ni tunayo age ristriction.....bila kujal ni ya 12 yrs au 8yrs wachwna na dharau za kitot
 
Back
Top Bottom