Watu wapumbavu wamejaa kwenye huu uzi siku hizi. Yaani watu wamewacha kudebate kutumia facts wanatumia ujinga kudebate. Sasa hii nchi ya Tanzania ambayo bado inaruhusu magari zaidi ya 10 years baada ya year of manufacture ndio tunaambiwa kwamba ina gari mpya nyingi? Kenya ndio nchi pekee EA ambayo imeweka age restriction on imported cars. Uzi huu umeharibiwa na vichaa.
Imebidi niquote hii paragraph hapa chini
Uganda’s move is a measure to bring the country’s car age limit closer to the EAC resolution that had recommended the slashing of the age limit for imported cars to five years by 2021.
It was only in 2018 that Uganda passed a law limiting the importation of vehicles manufactured more than 15 years ago.
Eight years
Kenya has been pushing regional countries towards adopting the EAC recommendation and has already announced plans to limit the age of used vehicles with engine capacity above 1500cc imported to five instead of the current eight years.
Tanzania allows imports of cars as old as 10 years while Burundi, Rwanda, and South Sudan, on the other hand, have no formal age limits for used cars. The different set of age limits within the region has fuelled tax and regulatory arbitrage to ship in cheaper and older cars.