Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Imagine hizo ni hasara za ndege mbili pekee[emoji1787][emoji1787][emoji23]Hahaha ziko wapi profits walikua wanasema wamepata by now[emoji23]
Imagine hizo ni hasara za ndege mbili pekee[emoji1787][emoji1787][emoji23]Hahaha ziko wapi profits walikua wanasema wamepata by now[emoji23]
Hakuna nchi nyingine tofauti na Uganda inayotegemea bandari yenu, zingine zote zaidi ya 90% ya mzigo wao unapita bandari nyingine tofauti na Mombasa sasa huo ulogistics hub mnautoa wapi?Wacha bangi. Ni data gani umetumia kusema kwamba tunahudumia UG pekee? Umewahi kusoma report ya KPA?
Upimwe Akili sio BureAny club in Tanzania that own a stadium?
This stadium is owned by Ulinza Stars.View attachment 2186172View attachment 2186173View attachment 2186174
Wewe ni kichaa. Sasa kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani ipo karibu na South Sudan? Utakuwa ulianguka somo la jiografia wewe.Hakuna nchi nyingine tofauti na Uganda inayotegemea bandari yenu, zingine zote zaidi ya 90% ya mzigo wao unapita bandari nyingine tofauti na Mombasa sasa huo ulogistics hub mnautoa wapi?
SS mzigo wake 80% unapita Sudan kama ilivyo mafuta yake yote.Wewe ni kichaa. Sasa kati ya Kenya na Tanzania ni nchi gani ipo karibu na South Sudan? Utakuwa ulianguka somo la jiografia wewe.
Naomba twende taratibu. Hapa tunazungumza kuhusu Kenya na Tanzania. Kati ya hizi nchi mbili ni nchi gani inayopokea mizigo nyingi ya South Sudan?SS mzigo wake 80% unapita Sudan kama ilivyo mafuta yake yote.
Cha kushangaza mnajihangaisha na DRC huku SS kawashinda
Mambo yanavyoenda TPA itakuja kupindua meza kwa KPA
Watu wanatekeleza 'kula kwa urefu wa kamba zao'
Obviously Kenya lakini kiduchuNaomba twende taratibu. Hapa tunazungumza kuhusu Kenya na Tanzania. Kati ya hizi nchi mbili ni nchi gani inayopokea mizigo nyingi ya South Sudan?
wewe sikushangai unafikiri kwa makalio EACOP ulibisha na SGR ukabisha, saahii huna hoja! endeleeni na upuuzi wenu maana ni faida kwetu! Sisi tuko busy tunakarabati bandari na meli za zamani na kujenga bandari na meli mpya maziwani na baharini!Hahaha. Endelea kuota.
Mafuriko yanasababisha vifo huko SA. Sasa sijui kama team roho mbaya pia watasherehekea hili janga kama ambayo wao husherehekea majanga yanayotokea Kenya?