chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Yaani matatu ambayo ndio yapo barabarani kwa zaidi ya 60% ni takataka, hapo bado private cars halafu anataka kujipima na Tanzania 😕Eti Nairobi ina magari bora![]()
Yaani matatu ambayo ndio yapo barabarani kwa zaidi ya 60% ni takataka, hapo bado private cars halafu anataka kujipima na Tanzania 😕Eti Nairobi ina magari bora![]()
Alafu kanasema kabisa "mbona video ya Nairobi inaonesha kuna gari bora" wakati ukitaja Nairobi tu basi gari zinazokuja kichwani ni hizi ulizoweka hapoGari za Nairobi ni hizi huna la kutuaminisha hapa!
Huu ni uchafu wa jalalani
View attachment 2183577
View attachment 2183578
View attachment 2183579






magari bora mbaya sana.!🔥Eti Nairobi ina magari bora![]()
Tukuulize wewe je ushajua kwamba kwa sasa duniani kuna huduma ya brain surgery without opening the skull?Don't just answer questions for the sake of answering. Nimewauliza how is economy contributing to the availability of rain?








Kakojoe ulale.magari bora mbaya sana.!![]()
😅😅😅😅😅Alafu kanasema kabisa "mbona video ya Nairobi inaonesha kuna gari bora" wakati ukitaja Nairobi tu basi gari zinazokuja kichwani ni hizi ulizoweka hapo![]()
Yaani hawa watu kuna vitu kwao ni vya hovyo mpaka macho yao yamevizoea na kuona vya kawaida, yaani ni sawa na mtu anaeishi kwenye eneo la mbu wengi tayari ni kama mwili wake umekua immune to malaria so kwake mbu sio issue ila nenda kakae wewe masaa mawili tu malaria inapanda kichwani
Ndio hawa sasa kwenye disasters za slums, mikweche, njaa na jangwa Yaani hivi vitu kwao wala sio ajabu![]()








so ni lale saa tano unusu mchana..! sawa baći, wacha ni krrr.....krr...🛌 kwa raha zako. ila hoja yangu imefika nyumbani...Kakojoe ulale.
Wewe umeweka picha ya Mkenya lakini bado unaidharau Kenya.Eti Nairobi ina magari bora![]()
But you are doing what Kenya did long time agoTukuulize wewe je ushajua kwamba kwa sasa duniani kuna huduma ya brain surgery without opening the skull?![]()
Never disturb yourself about their roads. In Tanzania to see paved roads ni 1 into 10Makumbusho, Kilimani ya Dar barabara ni za mchanga, haziko paved, vibanda ziko kila mahali. Ukitaka kujua uhalisia halisi wa Dar is a slum na miji ya bongo, cheki video za huyu jamaa. Unbiased and honest opinion from a neutral perspective. Anaonyesha kila kitu bila kuficha. Oooohhh na hizo gari zenu mzee bado zimejaa kwa hii video pia.


Facts😂😂😂Never disturb yourself about their roads. In Tanzania to see paved roads ni 1 into 10![]()
Mkenya niliyemuweka yuko wapi, naomba nioneshe.Wewe umeweka picha ya Mkenya lakini bado unaidharau Kenya.
So ushakubali kwamba duniani kwa sasa kuna huduma mpya ya brain surgery without opening the skull na inafanyika Tz pekee huku EABut you are doing what Kenya did long time ago








Siku ukinithibitishia kwamba Obama ni mkenya basi ndio siku naachana na jamii ForumsMtu anaweka kabisa picha ya Obama, mbegu ya Kenya kama Avatar yake lakini bado anaidharau Kenya.







