Kunyaland Nchi yenye gari za ukurutu Unawezaje kukejeli gari za Tanzania?Dar bado watu wanaendesha hizi nguruwe kwa wingi in 2022. 🤣🤣🤣🤣
![]()
![]()
Hivi Kama serikali ya Kenya ingepeleka maji ya Bomba hao wanyama wangekufa?, "Kenya irrigation schemes cover only 200k hectares, while on Tanzania cover over 900k hectaresww ni fala sana.!, unawaza na mk*ndu......
ona........, lack of rain is the act of god. its not manmade. so kwako hio inakua ni kigezo cha kicheko.! yani ata sijui watu wengine walizaliwa aje...![]()
Gari zenu mob ni mzee kama miaka zako tu. 🤣🤣🤣Kunyaland Nchi yenye gari za ukurutu Unawezaje kukejeli gari za Tanzania?
@Tony254





Kwanini hamjengi miundombinu ya umwagiliaji maji Kama Tanzania?, Wacheni upuuzi wenu mtakwisha kwa njaa, hili tatizo la njaa ni tangu Kenya ilipopata uhuru wake 1963, ni miaka 60 Sasa hakuna ufumbuzi, failed state"How is economy contribute to the availability of rain? Kweli unareason na asilimia moja ya akili yako![]()
What is the name of that port in Kisumu?The cleanest city in EAC after Kigali.
The City with the most efficient port along lake Victoria.
Vipi, mambo ya brain surgery without opening the skull yalikutokea mku..ndu.n..i au?Why do you waste your precious time arguing with idiots?










We Mkunya unaongea nn? Angalia hii clip 7 days old and see the cars in ur streets!Gari zenu mob ni mzee kama miaka zako tu. 🤣🤣🤣
Tuanze na majority ya wakunya wa humu, wengi hamna magari, kama unabisha the battle is openMagari mzee with outdated technology. Bado muna import Toyota IST ya 2002 na Mercedes E class ya 1995But still majority of your population can not afford a car hata ikiwa mzee kama kobe na bei ya kutupa.
![]()










Vipi, mambo ya brain surgery without opening the skull yalikutokea mku..ndu.n..i au?![]()







Picha nyingi zinathibitisha kwamba gari nyingi za Dar ni mpya kuliko picha za ka Nairobi, unabisha?Gari zenu mob ni mzee kama miaka zako tu.![]()
uhehehehe ww ndio ulipiga sensa mbona husemi probox zimejaa kenya pamoja na filder 😂😂😂😂😂Very few, Bongo kupata hizi model kwa streets ni ngumu sana while Nairobi hizi ndio zinauzwa na kuendeshwa sahii all over.
uliza ntv sasa 🤣🤣🤣🤣Hapa ni pande gani Nairobi?
Kaka, huwa unalitendea haki sana jukwaa letu hili kwa kuelezea huja nzito kiurahisi kabisa.Tony254, unayosema sio kweli hata kidogo, sector nzima ya Agriculture Tanzania ambayo ni kubwa kuliko nchi zote za ukanda huu haina uwezo kuingiza $1.3B, hafadhali ungesema maua ningekubali kwasababu ni "high value products.
Majani chai ni " low value' product, ili kupata $1.3B, lazima ardhi ya nchi nzima ya Kenya igeuzwe kuwa mashamba ya chai.
Kinachotokea ni kwamba, chai yote inayolimwa Malawi, Zambia, Tanzania, Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Ethiopia inakusanywa kwenye soko kubwa la chai hapo Mombasa, kutoka hapo ndio hiyo chai inakua "branded" Kama "Export from Kenya", lakini Kenya pekee hamuwezi kuzalisha hata chai inayozidi $200M, "prove me wrong"