Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

i
Ingia Youtube tafuta any recent video ya Nairobi and Dar es salaam, compare magari on both videos uone ukikufa na aibu na hizo magari zenu mzee.🤣🤣😂😂
ikiwa gari kama hii inatoka tanzania kuja kenya ishakua gumzo na ishakua taarifa ya habari 🤣🤣👇👇👇👇

 
Enda YouTube tafuta any recent video ya Dar na Nairobi compare the cars uone ukipata aibu, you rely on blogs as your source lakini kwa ground vitu ni different.
Hii hapa aisee 😂

IMG_1084.jpg


2022-4-10_21-4-28.PNG
 
i

ikiwa gari kama hii inatoka tanzania kuja kenya ishakua gumzo na ishakua taarifa ya habari 🤣🤣👇👇👇👇


Ju bongo mumezoea magari mzee. Mwenyewe amepewa attention kwa watu wamezoea newer cars. Nyi mumezoea 20 year old cars.🤣🤣🤣🤣
 
Ju bongo mumezoea magari mzee. Mwenyewe amepewa attention kwa watu wamezoea newer cars. Nyi mumezoea 20 year old cars.🤣🤣🤣🤣
unawazimu wa kichwa wewe nioneshe probox ya 2015 basi 🤣🤣🤣🤣

endelea kujipa matumaini tu
 
Anayeidaharau Remittance ni mjinga wa kwanza..how can one ignore this source of income...Tz ita benefit zaidi ikiruhusu dual citizenship...Tunapokea around 450Mil usd ..sio haba

Yeye aliona ni double edged sword hakudharau bali kasema hizo skill s.mlizo export zingeweza kuwa boost zaidi
Kikwete aliwahi kusema, kwanini mnataka kula huku na huku?
 
Mombasa gati la magari

Yaani hata parking ya baadhi ya shule Tanzania ni kubwa kuliko hiki kituko

Washukuru vyakula vya misaada vina boost sana hii bandari

View attachment 2183026
See how foolish you are. You are celebrating importing vehicles in instead of crying . The big difference between Kenya and Tanzania is that Kenya assembles her vehicles while Tanzania imports
 
Back
Top Bottom