Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Magari mzee with outdated technology. Bado muna import Toyota IST ya 2002 na Mercedes E class ya 1995🤣🤣🤣🤣 But still majority of your population can not afford a car hata ikiwa mzee kama kobe na bei ya kutupa.


millardayo_1649445568473863.jpg
 
Wapunguze Kodi...unakuta Gari lina bei sawa..au kodi inazidi bei gari ...unategemea watu wanunue magari hapo
sasa ununue gari chakavu zaidi ya miaka 10 kwani umesikia sisi ni jalala la magari chakavu?
 
Nmesema wapunguze kodi..cause magari latest ni bei na bado kodi zao ziko juu unakuta gari 40m na kodi 40m ..how is that fair
ila ukionyesha kadi ya gari kodi si inakadiriwa kutokana na mwaka gari ilitengenezwa!
 
ww ni fala sana.!, unawaza na mk*ndu......
ona........, lack of rain is the act of god. its not manmade. so kwako hio inakua ni kigezo cha kicheko.! yani ata sijui watu wengine walizaliwa aje... [emoji848]
Waarabu kule maisha yanaendelea na ni jangwani na kilimo wanacho na mazao wanakuja kuwapa msaada wa msosi ... Hivi ni kwanini msiige kule jangwani wanlima na maisha yanaendelea ............wacha kulia lia hapa .... nyie mmekalia ufisadi ...wezi wezi wa fedha za uma ......hizo fedha mnazo iba jengeni visima vya maji...muwe na kilimo cha umwagiliaji ...
 
Back
Top Bottom