joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Hahahaha, punguza hasira,Hizo ports zote umetaja ni vumbi na matope. And then kisumu is more efficient than all the ports you have mentioned.



Hahahaha, punguza hasira,Hizo ports zote umetaja ni vumbi na matope. And then kisumu is more efficient than all the ports you have mentioned.



But what was said is true.Fake news.
Tuzungumzie mahitaji muhimu kwanza Kama chakula kuwekewa Kodi huko Kenya
Truth is only based on facts, usiwe fala bana.But what was said is true.
Kupata million views Twitter sio shughuli ndogo
Tanzania inazidi kujitangaza, katika viewers million 1 hapa hatukosi tourists 100k wakaovisit au kuwa interested na Tanzania safari experience
Hil jengo nishaona humu ndani Wakunya wakidai hii project ipo Nairobi!
Now this is the matope I was talking about



Mahitaji muhimuTuzungumzie mahitaji muhimu kwanza Kama chakula kuwekewa Kodi huko Kenya


Can you please show me hayo matope hapo.?Now this is the matope I was talking about![]()
I'm just spitting facts. Kama nadanganya ebu niambie port efficient kati hizo tulinganishe na Kisumu.Hahahaha, punguza hasira,![]()
Mwisho wa mwaka itapokea mizigo ya 17M tonnes

Are you blind?Can you please show me hayo matope hapo.?
Acha wivu na hasira za kitotoMwisho wa mwaka itapokea mizigo ya 17M tonnes![]()
Onyesha matope my dear sisterAre you blind?
Apartment ya miaka nenda rudi, hii mombasa hata kwa ARUSHA haitoboiConstruction everywhere.
Mombasa
View attachment 2182972View attachment 2182973View attachment 2182974
Kama kusema ukweli ndio kuwa na wivu then let me have itAcha wivu na hasira za kitoto


