Tz_one
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 3,063
- 8,227
Anayeidaharau Remittance ni mjinga wa kwanza..how can one ignore this source of income...Tz ita benefit zaidi ikiruhusu dual citizenship...Tunapokea around 450Mil usd ..sio habaWacha kuongea utopolo wewe. Unadharau remittance kwa sababu una ujinga fulani ya kutoelewa umuhimu wa remittance yaani capital inflow katika uchumi husika. Hii remittance ni an important source of foreign currency exchange. Hii remittance ya $3 billion ni a bigger source of dollars to Kenya's economy kushinda hata tourism sector. Hii pesa inayotumwa inatumika kuelimisha Wakenya, au kununua shamba na kujenga majumba. Isitoshe Remittance ni kitu ambacho siku hizi inaipeperusha nchi mbali mbali. Nigeria inapokea remittance ya $35 billion kila mwaka. Hio ni nusu ya uchumi wenu. Narudia tena Nigeria inapokea remittance ya $35 billion kila mwaka ambayo ni nusu ya uchumi wenu. Endelea kuidharau remittance kwa sababu nyie hamna proffesionals waliosoma. Upuuzi mtupu.
Yeye aliona ni double edged sword hakudharau bali kasema hizo skill s.mlizo export zingeweza kuwa boost zaidi