Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Arusha gani? Hile yenye ilichapwa na Kericho?Apartment ya miaka nenda rudi, hii mombasa hata kwa ARUSHA haitoboi
Arusha gani? Hile yenye ilichapwa na Kericho?Apartment ya miaka nenda rudi, hii mombasa hata kwa ARUSHA haitoboi
😂😂 U crazy or something.?Arusha gani? Hile yenye ilichapwa na Kericho?
Acha hasira kijana 😂😂 unapata wivu kiasi hicho.?
Arusha should not be mentioned anywhere near Kenyan cities. Arusha can't even compete with Jinja KampalaU crazy or something.?
Kwanza hata sio 17M tonnes, ni 16MAcha hasira kijanaunapata wivu kiasi hicho.?


Acha wivu na hasira za kitoto



Hivi kuna asie na Google saivi? Watu wapumbavu sana wanafikiri wakisema hivyo ndio watapanda ndege kesho kuelekea Kenya, 😅😅😅 kumbe hawajui utamaduni wa wazungu wanafanya mpaka hotel reservations wakiwa hawajaanza safari, na hawawezi kufanya reservation bila kujua gharama za safari na eneo inapopatikana!Wakunya kwa kupenda mteremko, hawajui wanajenga taswira ya utokuaminika duniani
View attachment 2182909
Mombasa gati la magari 😅😅😅😅😅Acha hasira kijana 😂😂 unapata wivu kiasi hicho.?
Kisumu ndio nini?I'm just spitting facts. Kama nadanganya ebu niambie port efficient kati hizo tulinganishe na Kisumu.
berth 8 to 11 zimebinafsishwa kwa ticts na samia amesema ziko so ineffcientTukibinafsisha bandari sijui kama kutajengwa chochote
Stats from the EAC
PM ametoa onyo kwa TICTS 👇berth 8 to 11 zimebinafsishwa kwa ticts na samia amesema ziko so ineffcient
Arusha haina hata sidewalks. Soko kila pahali, hakuna mpangilio.Apartment ya miaka nenda rudi, hii mombasa hata kwa ARUSHA haitoboi
Huu ndio ukweli



Hivi unaongea kuhusu bandari kupokea mizigo, wakati hata maji ya kunywa hakuna