Au co.Tuonyeshe fire engine ya Tabora town
Sawa sawaWithout devolution, these things could be dream to us. Right now every county has a fire station.
View attachment 2174509View attachment 2174511
View attachment 2174526








Mkuu kama wewe unaziona basi upo kwenye mnyororo sisi tutazionaje wakati vita vya Ukrain na Urusi vimeanza tangu mwaka janaKwahyo hela zinazokopwa huoni kinachofanywa ama vp sijakupata
Kuna sehemu kweli kulikuwa na udhaifu kama binadamu ila kwa kuwa hayupo tuwe waungwana tumuache apumzike bora hata angekuwepo amestaafu angekuwa anaona na kujutia alipokosea. Ila tumuache tu apumzike kwa amani. Mama yetu tunampenda afanye kazi zake kwa ubunifu wake na siyo kudiss mtu ambaye hayupo.Katika mengi uliongea naungana nawe,Mtu akishakuaameenda muacheni aende,Humu ndani bado watu wanahang-over nae,kwa sasa hayupo...sasa kama kazi alizoacha bado zinashughulikiwa kwanini bado mnapata tabu?lakini usisahau aliharibu uchaguzi wa mwaka 2020 katika kitu aliwahi nikera nacho ni kile na nilimshusha sana,kwanza sipendi sana kumzungumzia
Alivyokomesha ile kasumba ya shamba la bibi ndipo chuki ilipochipukia.So kama aliharibu uhusiano wa Tz na Kenya cc inatuhusu nn, what is Kenya, Kenya ndiyo nn? Hata tukiwa na uhusiano mbaya na Kenya who is going to suffer btn Kenya and Tz? Mtasema biashara itaharibika so kama ikiharibika cc itatupa tabu gn? Kuna mtu atakufa njaa? Dawa hazitopatikana mahospitalini? Miradi haitofanyika? Jibu ni kwamba Kenya ndiyo ita suffer kwa kukosa bidhaa muhimu na kusababisha bei kupanda maradufu na watu kula mawe.
So to me Tz has nothing to do with shit hole Kunyaland, Magu was right to jeopardize relationship btn Tz and shit hole Kunyaland.
Da da da!!! Aisee hayo majina sidhani aisee, ebu fikiria unamletea mzazi wako cheti kimeandikwa hivyo,kwa kweli me siwezi. Ngoja tukufanyie mpango uende weweso ina maana kua, hakuna mtanzania wowote ataweza kubali kusomea hizi vyuo vikuu, vya japan na Indonesians, ata akipata full scholarship+upkeep, sabab ya jina.?
heb nipee hio scholarship.! yani, i ll go like yesterday![]()
View attachment 2174195View attachment 2174196


Hilo jina la kwanza ni kiboko kwa maadili ya Mtanzania ni ngumu sana kwenda hicho chuo. Kwahiyo umefukunyua mtandaoni kwa ajili ya evidence tu, aiseeso ina maana kua, hakuna mtanzania wowote ataweza kubali kusomea hizi vyuo vikuu, vya japan na Indonesians, ata akipata full scholarship+upkeep, sabab ya jina.?
heb nipee hio scholarship.! yani, i ll go like yesterday![]()
View attachment 2174195View attachment 2174196



Jamaa anadai alikua na chuki,then yuko free kabisa imagine kama kipindi cha nyuma hata hapo nyuma ya key board angepata ujasiri huo wa kumsema rais!Thibitisha ....Mwaka ulioisha kabla mambo hayajabadilika ilikua huruhusuwi hata kusema neno covid-19 ,huruhusiwi kusema vyuma vimekaza huruhusiwi kupinga chochote kinachofanywa na serikali hadharani au kwenye mtandao kwahyo yale maisha ndio mliona tumefanikiwa?watz tatizo ni unafiki kila mahali afadhali huyu Raisi wa sasa
Kama zimekanushwa itakuwa safi labda sasa watazingatia gharama halisi maana kwa bei hiyo ilikuwa upigaji wa kiwango cha juu sana, pia biashara ingekuwa ngumu sana, NHC ni shirika la Taifa sasa kwanini wawe na bei kubwa kuliko majengo ya watu binafsi?japo zimekanushwa, lkn bei ni balaa
(naona kama walikuwa wanatest zari)
View attachment 2174372
View attachment 2174373
kanusho + miradi inakamilika
View attachment 2174375
New pics from DSM, wao wamebaki na picha zile zile since 2017, imeongezeka Xpress way ya mchina.Dar es Salaam
View attachment 2174700