Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ngoja niwasaidie mkuu hiyo ni artificial shortage in kiberan thinking

Katika picha tunazoona kuanzia mazingira, barabara na hivyo vyombo vyao vya usafiri, Je hizi ni Taswira za Richest country au Nchi iliyoondelea kuliko zote ukanda huu?dalili ya mvua si mawingu?
 
Without devolution, these things could be dream to us. Right now every county has a fire station.

images%20(16).jpg
Sino-Truck-HOWO-16000L-Water-Tank-Fire-Fighting-Truck-with-Fire-Pumper.jpg


images (17).jpeg
 
I can see you are towing the line. So it's not about GDP anymore . It's now about regulatory authorities and reserves
You are just a joker i gave you a little test that relates gdp to fuel hujanijibu bado still skirting around my question
 
Kwahiyo hadi Sasa pamoja na maelezo mengi uliyopewa hujui uhusiano wa GDP kubwa na "fuel crisis", kumbe ndio sababu mnakufa kwa njaa, hamna akili kabisa ninyi
China is the world's biggest economy and still faces fuel shortages. And in your mind unajiona you make a lot of sense relating fuel crisis/shortage to weaker economies. Kwa hivyo China is also a weaker economy and that's why it faces fuel shortages at times? Kuzaliwa mtanganyika ni bahati mbaya sana!
 
You are just a joker i gave you a little test that relates gdp to fuel hujanijibu bado still skirting around my question
The joker is you who relates fuel crisis to GDP forgetting that China is the world's second biggest economy but still faces fuel shortages at times. Does this even ring a bell in your empty skull?
 
This still take me back to my earlier question: Does it mean that countries like England, Germany and China that have experienced fuel shortages in past did so because of their weak economies/small GDPs? Answer this question and I'll listen to you. Kwa sasa, unapiga tu kelele
In europe there is shortage of drivers but what do you lack in kenya to have these shortages while majority are unemployed.
 
The joker is you who relates fuel crisis to GDP forgetting that China is the world's second biggest economy but still faces fuel shortages at times. Does this even ring a bell in your empty skull?
There is a reason for fuel shortages in china so tell us what is the reason in Kenya.
 
In europe there is shortage of drivers but what do you lack in kenya to have these shortages while majority are unemployed.
It doesn't matter what occasions a crisis. The question is, is there a crisis or not? And issue of drivers was just limited to England alone. All the countries I shared had different reasons for the crisis
 
There is a reason for fuel shortages in china so tell us what is the reason in Kenya.
What's the reason for China? For Kenya, it's purely hoarding of the product by the suppliers/marketers. Our reserves are full as I type this
 
Yeye ndio Raisi kwa sasa hajui kuongoza hayo ni yako.Kama ni heshima aheshimiwe kama Raisi na huo ujinga wa kuuliza watu kama wanampenda ili nini? Hata JPM alikua hapendwi anaogopwa,kama ni kupendwa alipendwa Nyerere aliefuatia kidogo ni Kikwete
Huwezi kumcompare JPM na vitu visivyo eleweka for any matter tangu aingie madarakani ni kipi kipya kakianza mpaka leo ukimsikia kwenye media ni full kuchamba tu na tuna mpango wa... mipango isiyoisha action zero
 
I told them yesterday hiyo shortage yao ni inefficiency ya government yao mkunya mmoja akauliza if I really know what inefficiency is.
Kenya ni nchi inayochekesha sn yn vita ya Russia haina hata mwezi tayari wananchi wameshaanza ku suffer the consequences, cc huku Tz tunaambiwa mafuta yatapanda lkn bado hali iko vile vile zaidi zaidi wakunya wameanza kukimbilia Tz kununua mafuta mana kwao co tu bei bali mafuta hakuna kabisa yn kwa tafsiri nyepesi ni kwamba GoK haiwezi kununua hata mafuta ya ku last japo two months, ss mtu utajiuliza GDP kubwa ni ya Tz au ya Kenya.
 
Yeye ndio Raisi kwa sasa hajui kuongoza hayo ni yako.Kama ni heshima aheshimiwe kama Raisi na huo ujinga wa kuuliza watu kama wanampenda ili nini? Hata JPM alikua hapendwi anaogopwa,kama ni kupendwa alipendwa Nyerere aliefuatia kidogo ni Kikwete
Kwenye utawala wa JPM tang 2021 mpaka leo ni miladi mingapi tungekuwa nayo sasa ila kwa sasa ni tulio nayo ni mipango tu na mikopo ndio tunayo miliki
 
Back
Top Bottom