Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kigoma ni mkoa ambao ulikuwa haujaunganishwa na mtandao wa barabara za lami sasa hivi unafunguka, hii itarahisisha usafirishaji wa mazao kutoka DRC kuja TZ kupitia Kigoma.
Sio kigoma pekee. 93% of Tanzanian roads are not paved.
 
Nikuhakikishie kwamba serikali ya Kenya hailipwi pesa yoyote kuwahost hao refugees Kenya. Hakuna hata shilingi moja ambayo serikali ya Kenya inapokea kutoka UNHCR kuhost hao refugees. Na kama unapinga basi leta evidence. Akili yako inakufanya uamini kwamba Kenya haiwezi kusaidia watu ikiwa haitafaidika kwa njia yoyote. Lakini huna evidence kwamba serikali ya Kenya inalipwa kuwahost hao refugees. Wewe huwezi kuamini kwamba Kenya inaweza kusaidia watu kwa roho safi.
Nchi zote duniani zenye wakimbizi walio chini ya UNHCR zinapewa kiasi cha pesa kulingana na idadi ya wakimbizi ili kusaidia kutoa huduma kwa wakimbizi Kama vile huduma za Ulinzi, Afya, Elimu na uharibifu wa mazingira, jielimishe vizuri jinsi UNHCR inavyofanya kazi
 
Kwa hiyo akili yako ndogo najua huwezijua how artificial shortage usually happens. Ungekuwa na akili ya kuelewa ningekuelezea.
Kazi ya serikali ni ipi Kama sio kuhakikisha bidhaa muhimu kwa uchumi wa nchi zinapatikana wakati wote?
 
Mama yupo sawa. Yule jamaa alikuwa anastahili kuwa generali wa jeshi sio raisi. Aliharibu uhusiano kati ya Tanzania na Kenya. Mimi naunga mkono uongozi wa mama 1000%. Na hata 2025 Wakenya tutakuja kumsaidia kufanya campaign ili ashinde tena.
Mtakuja kumsaidia kufanya campaign mkiwa kama wakimbizi maana mwaka huu huko Kunyaland mtasambaratika zaidi ya 2007. POLENI SANA.
 
Toa uchafu apa
Huu ndio usafi? This is Upanga
tapatalk_1577649905869.jpg
tapatalk_1577649883901.jpg
tapatalk_1577649898510.jpg
 
bongolala, tell me the relationship between GDP and fuel shortage. Hizi story nyingi sijui Uganda sijui dharura achana nazo
Tatizo huna akili suwezi kupoteza muda wangu, hivi unajua maana ya GDP kweli wewe, "Bigger GDP means the Government has enough money to fix any problem in the country immediately, is fuel shortage not problem currently in Kenya?
 
Uhaba wa mafuta iliyopo Kenya kwa wakati huu has nothing to do with GDP bongolala. Fuel shortages occur even in established economies with bigger GDPs. Sasa nao pia uhaba wa mafuta inachangiwa na size ya economy yao? The problem with danganyikans like you is that you think you know so much yet you know so little
Taja nchi yoyote yenye uchumi mkubwa(rich countries) ambazo hupata uhaba wa mafuta Kama ilivyotokea hapo Kenya, stop your denial, Kenyan government is weak
 
Kusema tu ukweli, Uhuru has really improved Kenyan infrastructure. I just hope the next president will follow his footsteps.
I am for the opinion that the next government focuses on curbing corruption first and improve social services to individuals across Kenya
 
Back
Top Bottom