Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773



Kila siku mnaomba China wasogeze mbele tarehe ya kulipa deni, Kama reli tu mumeshindwa kumalizia baada ya kukosa pesa ya Mchina, hiyo pesa ya kulipa deni mtapata wapi?Hatujaishindwa kulipa deni kama Tanzania, na pia hatujaisamehewa deni![]()
Nairobians who live in muthaiga and work in westlands will wholeheartedly appreciate this roadUhuru na Kazi. There's no president that can Rival Uhuru in terms of development in this region, be it dead or alive.
Na ndio maana kuna baadhi ya nchi nyingine huwa zinatake advantage kuwashawishi wasiondoke ili waendelee kupokea misaadaNchi zote duniani zenye wakimbizi walio chini ya UNHCR zinapewa kiasi cha pesa kulingana na idadi ya wakimbizi ili kusaidia kutoa huduma kwa wakimbizi Kama vile huduma za Ulinzi, Afya, Elimu na uharibifu wa mazingira, jielimishe vizuri jinsi UNHCR inavyofanya kazi
I just like what Uhuru has done. If I was to rate him on infrastructure I would place him at 8/10.Nairobians who live in muthaiga and work in westlands will wholeheartedly appreciate this road
What we can say is that, only stupid person can reason this wayOur petroleum availability is currently higher than ya Tz, what can you say about that?![]()



Wabunifu kama hawa walindwe, waendelezwe wasiishie mtaani.
Kuomba muda usongezwe mbele na kushindwa kulipa vitu viwili tofauti. Kenya is asking for time to be extended while Tanzania is asking for forgivenessKila siku mnaomba China wasogeze mbele tarehe ya kulipa deni, Kama reli tu mumeshindwa kumalizia baada ya kukosa pesa ya Mchina, hiyo pesa ya kulipa deni mtapata wapi?


.Truth is always your number one enemyWhat we can say is that, only stupid person can reason this way![]()

Sasa si umeona kabisa hapo barabara ipo kwenye matengenezo?? Halafu barabara kuu ya Shinyanga to Mwanza isiwe na lami kweli. Kuna utepe kwa pembeni angalia vizuri
Mkuu hata harison ford alikua na idea anakusanya engineer wakaimplent, hata jack ma sio coder but he found Alibaba . Tuheshimu wanaoweza kubuni na kutengeza ajira plus kuinvest capital kwenye idea husikaaache upuuzi nae kabuni vp? Hii mbona ni technology ipo muda mrefu? Wapi patent ya ubunifu wake? Na hiyo rechargable battery, cells katengeneza yeye? alete evidence! Kila mpuuzi anaweza kuwa electro engineer sio?
hakuna ubunifu sema ka-assembly an ecar! Tuache upotoshaji! Aonyeshe katengeneza vp hiyo rechargable battery yake! kama si ka-import? au atuonyeshe hiyo patent ya ubunifu wake ambayo kapewa na serikali! Mi nampongeza kwa ku-assemble an ecar na si kubuni! Ecars zipo Arusha mbugani ambazo ziko converted na hawakujitangaza wamebuni!Mkuu hata harison ford alikua na idea anakusanya engineer wakaimplent, hata jack ma sio coder but he found Alibaba . Tuheshimu wanaoweza kubuni na kutengeza ajira plus kuinvest capital kwenye idea husika
Hahaha. Naona Warusi wameamua kusambaza vyuma vikuu kuu huko Ukraine. Inakuwa ni kazi ngumu kuzikusanya.Warusi wameiachie Ukraine Chuma chakavu natamani Ukraine watuuzie tupunguze bei ya Nondo😂😂😂
nani kaandika hayo mkenya kutoka makuru kayaba slum🤣🤣🤣
jipe matumaini hvo hvo mambo yamebadilika sana 😂😂😂👇👇👇👇Hahaha. Naona Warusi wameamua kusambaza vyuma vikuu kuu huko Ukraine. Inakuwa ni kazi ngumu kuzikusanya.