Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
The building is ugly.Kwaiyo ndio macho yako yanavyo kwambiaBox? Do you even know a box like structute?
The building is ugly.Kwaiyo ndio macho yako yanavyo kwambiaBox? Do you even know a box like structute?
ichoboy01 vijana wako wanalambishwa sakafu
Truth is always supported by facts, what you are doing here is spreading propaganda since you don't have any facts to back up your claims.Propaganda tena au ndio ukweli huo![]()
Kwa engineer jana ulikua juu ya unaset mitambo maana jana niliona walikua wanamalizia kufanya installation ya electrical cable. Kazi nzuri sana
Kitu kinang'aa kama mbele yaaniIts your opinion nobody care....pendwa na chaguo la wengiView attachment 2173241View attachment 2173244View attachment 2173245View attachment 2173246


Wakunya ni kizio cha kukunya kwenye mifuko a.k.a flying toiletTanzanians are the SI unit of stupidity.
Izo excuse haziku saidii, try to bit arround the bush, i asure you will find nothing...Nilikuambia uandike tu Kwa kiswahili instead of torturing English left, right and center.Everybody will understand you.
beautiful when finished how? That's a completed road that resurfacing is fucked up!This road is going to be super beautiful once it's completed.
Western Bypass.
View attachment 2173298View attachment 2173299View attachment 2173300
Development in Kenya is spread up to the villages.
You can't find fire station in Tanzanian towns and some cities while here in Kenya they available everywhere hadi vijijini
Wewe uko hata na nguvu ya kulala na Dem?![]()
Wacha kuropoka, nenda kusini mwa Tanzania ukaonyeshwe zaidi ya kaburi 300 za wanajeshi wa Tanzania waliokua katika vita vya Msumbiji, muulize Yoweri Kaguta Museven Kama hakushiriki vita vya Msumbiji Kama sehemu ya JWTZSasa kwa nini Watanzania wenzako humu ndani wanajifanya kwamba mlipigania uhuru na kumwaga damu ilhali mlipewa uhuru wenu bure bila kupigana? Nyie mlianza kupigana na mabeberu indirectly baada ya kupata uhuru wenu kwa kuhost freedom fighters kutoka nchi za SADC. Hata baada ya uhuru Tanzania haikupigana vita na mabeberu moja kwa moja. Mlipigana nao indirectly kwa kutrain freedom fighters wa hizo nchi kisha kuwatuma waende wapigane wenyewe. Sasa sijui mnasema eti mlimwaga damu wapi? Yaani waliokuwa wakipigana sio jeshi lenu bali ni hao freedom fighters waliopata mafunzo Tanzania ndio walitumwa waende wapiganie nchi zao. Wao ndio walienda kupigana na kufariki, sio nyinyi. Nyie mlikuwa hosts tu lakini hamkumwaga damu.
What do you know about roads when your country only has 9000KM of paved roads?beautiful when finished how? That's a completed road that resurfacing is fucked up!


Kigoma ni mkoa ambao ulikuwa haujaunganishwa na mtandao wa barabara za lami sasa hivi unafunguka, hii itarahisisha usafirishaji wa mazao kutoka DRC kuja TZ kupitia Kigoma.
Super ugly