Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Sasa kwa nini Watanzania wenzako humu ndani wanajifanya kwamba mlipigania uhuru na kumwaga damu ilhali mlipewa uhuru wenu bure bila kupigana? Nyie mlianza kupigana na mabeberu indirectly baada ya kupata uhuru kwa kuhost rebel groups kutoka nchi za SADC. Hata baada ya uhuru Tanzania haikupigana vita na mabeberu moja kwa moja. Mlipigana nao indirectly kwa kutrain rebels kisha kuwatuma waende wapigana wenyewe. Sasa sijui mnasema eti mlimwaga damu wapi? Yaani waliokuwa wakipigana sio jeshi lenu bali ni hao rebels waliopata mafunzo Tanzania ndio walitumwa waende wapiganie nchi zao. Wao ndio walienda kupigana na kufariki, sio nyinyi. Nyie mlikuwa hosts tu lakini hamkumwaga damu.
Soma Vizuri historia ya Tanganyika na Tanzania .

Wakati wa utawala wa Germans damu nyingi ilimwagwa Kwenye vita yetu na Germans mpaka wakashangaa ujasiri wa watanganyika mpaka wakachukua mafuvu ya baadhi ya machifu kupeleka kwao kama ukumbusho.

Baada ya uhuru Tanzania imepigana vita ikisaidia Mozambique kuchukua uhuru kwa Wareno.
Imepigana vita kuwasaidia zimbabwe, Angola , Namibia kuchukua uhuru.
Imewasaidia ANC kwa hali na mali kuchukua uhuru kutoka kwa makaburu.
ikampiga Uganda ya Amin na Libya .

Katika harakati zote ilikuwa ni risk kubwa Lakini kenya ilikuwa Muoga kusaidia waafrika wenzake.
Tuseme muda mwingi wa kujiletea maendeleo tumepoteza kwenye mapambano ya vita .
 
Kwanini? Ulikuwa unaweza kutaja neno coronavirus? Au umesahau ugonjwa wa matatizo ya kupumua?
Ili saidia sana, km ilikukwaza basi ishi nayo hiyo...ndio tusha toboa kuhusu korona na JPM ndio alikuw captain wa ship, i wonder uyu bibi angekuwa rais by that time sijui km tungekuw na tofauti yoyote kati yetu na malawi au burundi
 
Kama mko na stoke? Mbona msifungue hayo mafuta ili iyo shortage ihishe, huo mdaa walio tumia kuandio huo ujinga wangeutumia kufungua hayo mafuta, na kututole ufukara wa kuja kutumia mafuta kwenye sheli zetu
Kwa hiyo akili yako ndogo najua huwezijua how artificial shortage usually happens. Ungekuwa na akili ya kuelewa ningekuelezea.
 
Expressway flowers has finally reached Westlands.



20220402_180708.jpg
 
unakuwaje na GDP kubwa halafu unashindwa kuagiza mafuta?
Hayo ya kushindwa kuagiza mafuta umeyatoa wapi? Ni wapi ulisoma kwamba Kenya kama taifa imeshindwa kuagiza mafuta? Ama hizi ndio hadithi za vijiweni nasikianga?
 
Mngeweza kuagiza mafuta ya dharura toka popote duniani kwa haraka, mbona nchi zingine ikiwemo Uganda hakuna uhaba wa mafuta?
bongolala, tell me the relationship between GDP and fuel shortage. Hizi story nyingi sijui Uganda sijui dharura achana nazo
 
GDP ikiwa kubwa mitigating strategies nazo zina improve na kuwa bora sasa hapo kwenu ni vice versa.
Uhaba wa mafuta iliyopo Kenya kwa wakati huu has nothing to do with GDP bongolala. Fuel shortages occur even in established economies with bigger GDPs. Sasa nao pia uhaba wa mafuta inachangiwa na size ya economy yao? The problem with danganyikans like you is that you think you know so much yet you know so little
 
Back
Top Bottom