Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Karibuni sana wazungu

Screenshot_20220330-080857.png
 
Mkuu apa naomba nichangie kdgo, kwa sasa sio swala la zama mbili tofaut, uongozi ulio fail kukotrol market kabisa ivi umenda kuangalia gharama za vitu recently, kama hujui watu wanalalamik bila kujali ni zama gni hali ni mbaya sana
Kiongozi tuwe realistic duniani kote vitu vimepanda bei baada ya demand kuongezeka post covid we expected things to normalise soon after but the Ukrainian war imeharibu Europe is reeling on hyper inflation as we speak sembuse sisi.
 
Kiongozi tuwe realistic duniani kote vitu vimepanda bei baada ya demand kuongezeka post covid we expected things to normalise soon after but the Ukrainian war imeharibu Europe is reeling on hyper inflation as we speak sembuse sisi.
Hao ni wapumbavu tuu wenye chuki na Samia,na hao hao humu ndani wanafupia CPI za Nchi mbalimbali lakini kwa Tzn eti iko immune kama kwamba havitakiwi kupanda,those are stupid monkeys.

This is the actual situation across Africa,wenye akili wanatahadharisha ila mapumbavu yanasema.Samia ndio kapandisha bei

Screenshot_20220330-103030.png
 
Wakati Misukule ya Mwendazake ikiendelea kununua,SSH anaendelea na mipango yake ya kuongeza uzalishaji na kuimarisha mapato.

Screenshot_20220330-103440.png


Screenshot_20220330-103119.png
 
msikilize hapa huyo mama afu umtetee
yan hata kwa namna anavyoongea, aibu naona mimi.. zero brain kbs!

Mimi binafsi sioni tatizo kama competent agency akipewa kazi hii! Hivi sasa kuna magari yaliyopita miaka inayoruhusiwa kuingia nchini yanaingia na inakuwa ngumu kwa vile ukaguzi unafanyika nchini na si yanapotoka! Na yanasababisha mlundikano bandarini!
 
Nisham block tayari huyu shoga mwenye I'd nyingi humu JF, hii ni I'd yake ya 3 naiblock, akifungua nyingine pia nikiona muandiko wa kishoga shoga wenye mipasho najua ni huyu shoga so nampiga block.
kwani ww ni moderator.!?. mtu asitishie Opportunity Cost. ila nnajua sikuzote mnakereka sana na ukweli wake
 
Mimi binafsi sioni tatizo kama competent agency akipewa kazi hii! Hivi sasa kuna magari yaliyopita miaka inayoruhusiwa kuingia nchini yanaingia na inakuwa ngumu kwa vile ukaguzi unafanyika nchini na si yanapotoka! Na yanasababisha mlundikano bandarini!

so tatizo la kupunguza mlundikano bandarin ni kubwa au ni zito zaid kuliko faida vijana na garage au TBS wanayopata.. kwamba Taifa linashindwa kbsa kbsa kutatua tatizo la mlundikano bandarin.. kbsa kbsa Rais anashindwa hili?, kbsa kbsa waziri anashindwa hili? kbsa kbsa MD wa TPA anashindwa hili? mhh hakuna uongozi hapa
 
Huyu mama anashauriwa mambo mengi asiyoyajua na yeye anakubali kwasababu hajui mambo mengi ambayo kiongozi anapaswa kuyajua, shida ilianzia pale katiba letu bovu lilipomzawadia kiti, but hakuwa amewaza wala kujiandaa kuwa Rais na kuna mambo mengi maskini ya Mungu anapaswa kuyapitia kabla ya kutoa uamuzi lkn atayapitiaje wkt hajui aanzie wapi. Tutulie tu hakuna jinsi ila tunapoelekea wale wenye chuki na uongozi uliotukuka uliopita watatii japo wameshaanza kutii kimya kimya.
Mabeyo na Sirro hata hawashiriki vikao vyake siku hizj, nimefurahi sana Kila alipokuwa anauliza nani yupo, anajibiwa hayupo...

Yaani hapa wamuwahishe mapema au watoe onyo kwa CCM, huyu mama hatuna kitu, ***** sawa na Steve Nyerere tu
 
so tatizo la kupunguza mlundikano bandarin ni kubwa au ni zito zaid kuliko faida vijana na garage au TBS wanayopata.. kwamba Taifa linashindwa kbsa kbsa kutatua tatizo la mlundikano bandarin.. kbsa kbsa Rais anashindwa hili?, kbsa kbsa waziri anashindwa hili? kbsa kbsa MD wa TPA anashindwa hili? mhh hakuna uongozi hapa
ndiyo kama tunataka kuongeza mizigo zaidi hatupaswi kulundika mizigo ya magari bandarini yanayongoja ukaguzi! Pia kama nilivyokuambia uaminifu ni zero watu wanaingiza magari machakavu! Mzee una hidden interest kwenye hili nn? mbona unalalamika sana? Au ndo mambo ya indoor arena Mwenge? 🙄🙄
 
msikilize hapa huyo mama afu umtetee
yan hata kwa namna anavyoongea, aibu naona mimi.. zero brain kbs!

Bila shaka kuna shida hapo TBS, haiwezekani utaratibu wa kukagua ndani umeanza mwaka huu tena wanabadili.

Nilisikia ishu ya ucheleweshaji na kuleta ukiritimba bandarini kwa sababu za ukaguzi,huenda ndio zimepelekea kubadili tena..
 
Back
Top Bottom