Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kachez unapo chezaga
aa wapi..!? dar kulikoni.??

nb: leo tunaonana ana kwa ana View attachment 2169307


View attachment 2169308westlands pekee ndo cbd yote ya dar View attachment 2169321
..mtoto yake nepiii..picha yangu was taken far away compare to that shit pc but men see how your pcha whyped
JamiiForums2143081460.jpg
JamiiForums796296753.jpg
 
mama anarudisha utaratibu wa gari kukaguliwe nje na sio nchini.. huku ni kuua ajira na kuua ujuzi
Nani kasema,serikali ya mama ndio ilizuia utaratibu wa kukagua magari nje ikawapa tbs na kuongeza mapato sasa ukisema wanarudisha tena husomeki.
 

Attachments

  • JamiiForums796296753.jpg
    JamiiForums796296753.jpg
    42.5 KB · Views: 16
  • JamiiForums-1724316832.jpg
    JamiiForums-1724316832.jpg
    112.5 KB · Views: 17
Eti anaongea kabisa vitu vitapanda bei, nauli zitapanda na kawaambia mawaziri na wabunge wawaambie wananchi hilo, ss hapo c ndio anawapa ruhusa walanguzi wazidishe bei mara dufu. Ni sawa unaenda kwa machinga alafu kabla hajakupa bei unaanza kumwambia "hivi hii suruali huwezi kuniuzia kwa shilingi elfu 50" ss hapo hata kama ilikuwa inauzwa elfu 10 unategemea nn hapo.

Uongozi huu ni dhaifu kuwahi kutokea Tz na ndiyo maana wamebaki kuongea ongea tu tutajenga hiki, tutajenga kile, lkn ukweli ni kwamba hakuna wanachojenga zaidi ya kuendeleza yale yale ya awamu ya tano na tena wanaendeleza kwa kusua sua licha ya kuweka matozo na kukopa kopa bila akili.
Bei inapangwa na soko,uzidishe bei kwani una monopoly ya Soko? Mbona alisema kwenye hotuba na hii ni mara ya pili anarudia ,walanguzi wamepandisha nini?

Nyie ndio mlikuwaga mnadanganya watu kwa matamko uchwara.Mwendazake aliwahi ulizwa kwamba Bei za mabati zimeoanda Sana aliwajibu watu kwa dharau na kejeli kwamba Jenga kiwanda chako uuze bei rahisi.

Tofauti ya mama na nyie wengine mlizoea uongo ila sasa ndio mnachanwa live kwamba Bei ya mafuta ikizidi kupanda huko Duniani na vitu vitapanda zikiwemo nauli,this is naked truth whether unachukia ,kununa nk huu ndio ukweli wenyewe.

Hakuna kupepesa macho kama alivyosema last time kwamba hakuna cha umeme wa 27,000 na leo karudia hakuna kupunguza mapato ya serikali Kwa kufuta tozo kwa kisingizio cha mafuta kupanda.

Ndio maana namkubali Samia,anakuchana live hayuko Ikulu kufurahisha watu au kutafutwa kupendwa bali kutimiza wajibu wake na matokeo tunayaona.

Ukipata Takwimu kama hizi hapa chini kwa miaka 6 iliyopita nitag 👇

Screenshot_20220328-114505.png


Screenshot_20220328-115637.png
 
Ama kweli wendawazimu wapo mamlakani!

Kuna viwanja vya michezo Dodoma na barabara ya Pwani to Mtwara ilitakiwa ijengwe kimkataba sababu ya mtiririko mzuri wa certificates payment from client, sasa naona kona zinapigwa hapa, uzuri wanajua waliopo sasa wanawamudu!

Makamba anahujumu huu mradi ili ufeli aendelee kupiga pesa.
 
Japo huwa sipendi kucomment kwenye siasa lakini inabidi tukubali tuu kila zama na kitabu chake hatuwezi kufikiria sawa wote hapo nyuma kulikuwa na #hapa kazi tuu watu wakafurahia na wengine wakanuna sasa ni zamu ya #mama anaupiga mwingi wale waliokuwa wamenuna wanafurahia na wale waliokuwa wamefurahia kwenye #hapa kazi tuu ni zamu yao kununa huo ndio ukweli and that's life. Ukiangalia a typical graph haiwezi kuwa smooth hata siku moja has ups and down huo ndio ukweli hata kwenye maisha ni hivyo hivyo.
Mkuu apa naomba nichangie kdgo, kwa sasa sio swala la zama mbili tofaut, uongozi ulio fail kukotrol market kabisa ivi umenda kuangalia gharama za vitu recently, kama hujui watu wanalalamik bila kujali ni zama gni hali ni mbaya sana
 
Japo huwa sipendi kucomment kwenye siasa lakini inabidi tukubali tuu kila zama na kitabu chake hatuwezi kufikiria sawa wote hapo nyuma kulikuwa na #hapa kazi tuu watu wakafurahia na wengine wakanuna sasa ni zamu ya #mama anaupiga mwingi wale waliokuwa wamenuna wanafurahia na wale waliokuwa wamefurahia kwenye #hapa kazi tuu ni zamu yao kununa huo ndio ukweli and that's life. Ukiangalia a typical graph haiwezi kuwa smooth hata siku moja has ups and down huo ndio ukweli hata kwenye maisha ni hivyo hivyo.
2025 ni mbayaaa sanaaa...sabab haitakuw ugonvi wa vyama , bali wananchi na serikali
 
it’s not about #HapaKaziTu or #AnaupigaMwingi.. it’s all about Tanzania development.. mfano hio ya vehicle inspection haitendei haki Tanzania hasa ukiangalia vitu kama ajira kwa vijana wa kiTanzania
Sikatai lakini global norms kwenye shipping industry ndio ina dictate pre shipment inspection. Hata hivyo serikali inapaswa iangalie a bigger picture kwenye ajira za vijana including kuwafanya wakopesheke hii ndio itakuwa suluhisho sahihi kwa ajira za vijana.
 
Ama kweli wendawazimu wapo mamlakani!

Kuna viwanja vya michezo Dodoma na barabara ya Pwani to Mtwara ilitakiwa ijengwe kimkataba sababu ya mtiririko mzuri wa certificates payment from client, sasa naona kona zinapigwa hapa, uzuri wanajua waliopo sasa wanawamudu!

bibi kazini
 
Kwani kuna sehemu nimeku quote? Mbn unajirahisisha kwa wanaume namna hii? Wewe endelea na mabasha wengine kwangu umenoa.
Lugha za kike kama sura yako,eti kwangu umenoa 😂😂😂,fala kweli wewe,for your information hakuna kitu utafanya.

Unadhani nakukoti kwa sababu napenda matako yako au? Nakukoti kufanya kuondoa upotoshaji wako.

Seems kichwani umejaa usaha badala ya ubongo.
 
Back
Top Bottom