Japo huwa sipendi kucomment kwenye siasa lakini inabidi tukubali tuu kila zama na kitabu chake hatuwezi kufikiria sawa wote hapo nyuma kulikuwa na #hapa kazi tuu watu wakafurahia na wengine wakanuna sasa ni zamu ya #mama anaupiga mwingi wale waliokuwa wamenuna wanafurahia na wale waliokuwa wamefurahia kwenye #hapa kazi tuu ni zamu yao kununa huo ndio ukweli and that's life. Ukiangalia a typical graph haiwezi kuwa smooth hata siku moja has ups and down huo ndio ukweli hata kwenye maisha ni hivyo hivyo.