Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ni ukweli usiopingika Magufuli alifanya mapinduzi makubwa kwenye sekta ya afya na sioni kiongozi yoyote anavunja record hii!

Wakenya kuweni honest tu, kuna County Kenya nzima inaweza shindana na hizi hospitals za Mbeya nje ya Nairobi?




👇👇👇

Screenshot_20220330-055416.png
 
Hii imebadilisha sn mji wa Nairobi,nilikuwa hapo wiki iliyopita nikashuhudia Kwa macho yangu .Hongera majirani

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Asante kwa pongezi. Wewe Mtanzania kuipongeza Kenya kutafanya Watanzania wenzako wakuchukie. Kila Mtanzania humu anastahili kuikashifu na kuichukia Kenya na anayekiuka sheria hio anapigwa vita vikali. Angalau wewe umefika Kenya na umejionea kwa macho yako maendeleo ya huku.
 
Bado Ethiopia na Somalia.

Hivi inakuaje British walijitoa EU wakati Mataifa mengine yanapenda kuwa pamoja?
Somalia wachana nayo kabisa bro. Nyie hamuwafahamu vizuri kwa maana wao sio majirani wenu. Kamwe Somalia haitaingia EAC wacha nikuhakikishie leo. Na ikiingia Kenya inatoka. Kenya haitaishi ndani ya nyumba moja na Somalia. Mark my words.
 
 
most definitely nairobi..!
as in, nbi is so much expansive so much so that u cannot fit it in one single page.!, whereas dar cbd is a one-unit-pact kind of a city
cc: ichoboy01


NB: COMPARING DAR AND NBI, ON A LEVEL PLAYING GROUND, WITHOUT ANY BIAS ON EITHER SIDE

darView attachment 2168676View attachment 2168674View attachment 2168679

vs

nbiView attachment 2168675View attachment 2168746View attachment 2168681View attachment 2168677
Why are you shooting yourself on the foot
 
Eti Nigeria ina 4th most powerful military in Africa na ujinga kama huu unafanyika huko?
Ss ndio muelewe kwnn huwa tunazikataa ranking za kipumbavu kama hizo, hawa wazungu ni wajinga sana, huwa wanazi favour nchi ambazo zinawaruhusu wafanye wanavyotaka. Ss wanaweka jeshi la nchi kama Kenya au Nigeria mbele ya jeshi la Tz kwa kigezo kipi? Hizo nchi zina machafuko kila siku kutokana na udhaifu wa majeshi yao lkn utaambiwa wanajeshi imara kivipi? Ila kwa kuwa serikali ya ss imewakumbatia ngoja uone report zijazo.
 
Ss ndio muelewe kwnn huwa tunazikataa ranking za kipumbavu kama hizo, hawa wazungu ni wajinga sana, huwa wanazi favour nchi ambazo zinawaruhusu wafanye wanavyotaka. Ss wanaweka jeshi la nchi kama Kenya au Nigeria mbele ya jeshi la Tz kwa kigezo kipi? Hizo nchi zina machafuko kila siku kutokana na udhaifu wa majeshi yao lkn utaambiwa wanajeshi imara kivipi? Ila kwa kuwa serikali ya ss imewakumbatia ngoja uone report zijazo.
Mdogo mdogo wataelewa tu mkuu.
 
Back
Top Bottom