Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Japo nipo busy kinyama ila hii comment siwezi kuiwacha hivyo. Mawazo kama haya yanaweza kufanya mtu aharishe chooni. Mawazo kama haya sio ya mtu mwenye akili timamu. Sasa utasemaje kwamba investors kufungua maofisi Kenya hakuisaidii Kenya? Hivi unajua microsoft kwa mfano inalipa rent pesa ngapi kwa mwaka? Tuzungumza mambo ya millions of dollars worth of rent per year na pesa hio inabaki hapa Kenya na kuzunguka hapa Kenya. Isitoshe wameajiri Wakenya wengi sana na salary yao ni "international scale" salary. Vile vile wanalipa ushuru kwa serikali ya Kenya. UN nayo imeajiri hundreds of Kenyans na pia salary yao ni "international scale ".
Umeshamaliza kuharisha chooni?, Nani amesema haisaidii Kenya, tunachosema ni kwamba Kati ya Kenya yenye ofisi nyingi za UN na international companies na Tanzania yenye kupokea FDI nyingi na uwekezaji mkubwa, ni nchi ipi yenye kufaidika zaidi kiuchumi?, Nikatoa mfano wa mwaka Jana ambapo USA pekee imewekeza $1.5B Tanzania, na Kenya $353M tofauti ya $1.147B, ni ofisi ngapi zinahitajika kuziba Hilo pengo kutokana na rent na salaries za watumishi watakaowalipa?
 
Duh! Jamaa una nyundo nzito kwa hawa jamaa, housemaids, nimecheka sana unajua kuwaweka mahala pake hawa jamaa. Nimekuwa nikiwafuatilia nikiwa nje ila nimejifunza kitu kwamba mmeamua kuwasemea watanzania walio wengi ambao hawawezi kuwa jukwaani hapa. Mmetufunza mengi ambayo hatukuwa tukiyajua kuhusu Kenya na Wakenya na yale waliyokuwa wakisema juu ya nchi yetu. Kazi njema sana wazalendo wa nchi yetu (Tanzania).
Huyo chongchung huwa anapiga kwenye mshono daima, huwa hapigi kwengineko zaidi ya kwenye mshono, hawa wakunya huwezi ku debate nao kistaarabu wakaelewa, ni lazima ujitoe ufahamu kdg uwe kama wao, hapo ndio huwa wanaelewa.
 
Kumbuka China ni ya Kwanza kwenye kuzalisha black tea. India ni ya pili na Kenya ni ya tatu. Lakini India na China zinaconsume black tea yao almost yote internally. Kenya chai yetu nyingi tunaexport hatukitumii nyumbani sana. Kwa hivyo Kenya ndio the biggest exporter of black tea in the world (japo sie ni 3rd biggest producer)
Kenya produces what it doesn't consume, and consumes what it doesn't produce, this country definitely will fail economically.
 
Huyo chongchung huwa anapiga kwenye mshono daima, huwa hapigi kwengineko zaidi ya kwenye mshono, hawa wakunya huwezi ku debate nao kistaarabu wakaelewa, ni lazima ujitoe ufahamu kdg uwe kama wao, hapo ndio huwa wanaelewa.
Kweli mkuu. Hata wewe pia comments zako huwa zinanifurahishaga usivyorembesha hadi wanakuchukia, joto la jiwe ndio hawataki kumsikia kabisaaa
 
Kali, Ubungo haiwezi fikia hii in 100 years.
Ww vijitu vya njia mbili unafananishaj n jili dubwana plus BRT
JamiiForums761268011.jpg
 
Kenya produces what it doesn't consume, and consumes what it doesn't produce, this country definitely will fail economically.
Heeeeheeee

Kenya is the biggest producer and biggest consumer of milk in Africa. Usilazimishe tufanane. Endeleeni kuproduce Tanzanite sisi Wakenya ndio tunazibroke na kuuza kwa Wachina, Wahindi, Waarabu na wazungu.🤣🤣🤣
 
asante kwa kunionesha mali ya mchina amabayo ataimiliki kwa miaka 30 na hakuna mkenya atapita bila fee kwenda kwa mchina imegine
tuktuk hazitaruhusiwa
baiskeli hazitaruhusiwa
boda boda hazitaruhusiwa
wheelbarrow hazitatuhusiwa
na mkenya mtembea kwa miguu hataruhusiwa


😂😂😂😂 ni mlevi pekee
 
Umeshamaliza kuharisha chooni?, Nani amesema haisaidii Kenya, tunachosema ni kwamba Kati ya Kenya yenye ofisi nyingi za UN na international companies na Tanzania yenye kupokea FDI nyingi na uwekezaji mkubwa, ni nchi ipi yenye kufaidika zaidi kiuchumi?, Nikatoa mfano wa mwaka Jana ambapo USA pekee imewekeza $1.5B Tanzania, na Kenya $353M tofauti ya $1.147B, ni ofisi ngapi zinahitajika kuziba Hilo pengo kutokana na rent na salaries za watumishi watakaowalipa?
na hzo rents zinaenda kwa foreigners kwasababu ndio wamiliki wamajengo mengi hapo nairobi 🤣🤣🤣
 
Heeeeheeee

Kenya is the biggest producer and biggest consumer of milk in Africa. Usilazimishe tufanane. Endeleeni kuproduce Tanzanite sisi Wakenya ndio tunazibroke na kuuza kwa Wachina, Wahindi, Waarabu na wazungu.
Hahahaha, biggest producer of milk in Africa?, May be biggest producer of deaths due to starvation
 
Wakunya bwana, 83rd ranked military, globally lakini Alshabaab wanawanyima usingizi, pamoja na military bases za USA bado Kunya land haina usalama, Poor kunyaland
Kenya tumepakana na alshabaabi walipuzi "uso kwa uso" sio kama TZ!!nyie munatikiswa na jeshi mapanga!
Sisi Kenya tunajilinda kikamilifu hatusaidiwagwi na mazezeta,amison,ama "NATO kama wanavyosaidiaga saudi arabia!!"
Jesh letu la KDF limefanya bidii yake yote na kuimarisha usalama 90%anagalia Nigeria bokoharam inavyofanya na bado milliary yake iko ranked top kuliko KDF,lakini KDF ina mafanyikio makubwa kuliko Jeshi lao!! Kama sio sio Bidii ya KDF sijui Kenya ingekua aje!!Mungu abariki KDF wote

Tunaendelea mkiendelea tu na wivu yenu hapo!😬
 
Back
Top Bottom