chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,315
- 45,115
Dom
ww vita hvi bado hujavielewambinu za kivita ni nyingi sana ila nusu ya ukraine iko chini ya urusi hasa yale majimbo yalikua muhimu kwake


warusi tumeshawazoea ikifika jioni wanasemaga tumemaliza vita kwenye huu mji wa kiev ...sasa tunarudi nyuma ......wabongo na warrusian tukiamka asubuhi na mapema saa 12 tunakuta KIEV imegeuzwa juu chini majivu 


akati jana yake RUSSIAN COMANDO'S walisema vita imeisha hapo.....CC: Tony254Wakunya kwa kupenda sifa za kijinga , 1st country to have electric car . Wahuni wamewawekea mtego bei ya betri . Mnabaki mnang'aa machoView attachment 2168660
and so u think Nato will stomach this.!!? 🤔Usikute ni ujanja wa Putin kaamua kuwarudisha nyuma wanajeshi wake ili akipiga nyuklia asilete madhara na vifo kwa askari wake. Vita ni mbinu, akili , mikakati na ujanja mwingi. NIMEWAZA TU.
Tony254 hvi vita bado hajavielewa 😂😂warusi tumeshawazoea ikifika jioni wanasemaga tumemaliza vita kwenye huu mji wa kiev ...sasa tunarudi nyuma ......wabongo na warrusian tukiamka asubuhi na mapema saa 12 tunakuta KIEV imegeuzwa juu chini majivu
akati jana yake RUSSIAN COMANDO'S walisema vita imeisha hapo.....
most definitely nairobi..!Asa niliwauliza Jiji lipi lina majengo mengi zaidi Marefu katiya Dar vs Nai, mpk leo mnanyamazaga kimya, jibuni hilo kwanza![]()
ndiyo huyo huyo uliye mquoteyaani uongo bila aibu mngekua mnavuka boda kuja bongo kwa matibabu , yaani kuna siku mlikua mnashang'aa blood transfusion kua bure huku Tanzania . Acha sifa za kijinga mngekua na bima nchi nzima last year kuna kuna youtuber mkenya anaitwa African tigress alikua anaomba donation hili wachukue mwili wa baba yake hospitali wakazike . Where is those health insurance ?
Hii Dom wallahi inaenda kuchapa Nairobi.
Mkuu rudisha ile avatar yako, co kwa ubaya.Achana nae wengi humu walishampuuza,amebaki Kujijibu mwenyewe kama mgonjwa wa pale dodoma ile hosptali inayotambulika.
majamaa wamevamia train ya nigeria.. abuja-kaduna
and she died
Hii Ndio nchi wanasema ina gdp ukubwa mara sijui jeshi lao lipo juu in terms of millitary rankings daah wanatia aibu aiseejuzi tuu treni limeishiwa mafuta
Yani ni ujinga uliopitiliza aisee kama treni linawezwa kutekwa sembuse basi la kawaidaa au private car daah uko nigeria aisee hakufaikwenye hio ya kuishiwa mafuta.. kuna comment/tweet moja niliona jamaa alitabir kwa hali hio bandits wataattack trains, sasa wameattack kweli ase
hayo ndo huwa mizi mtaaniKENGE WEWE .....peleka huu ujinga wako kule kwenye jukwaa la siasa ....usituharibie uzi hapa.......yaani we ni dog ...kule kwenye dr & nairobi umeharibu ule uzinkwa ujingaa huu huu ...na hapa tena waja kutuharibia....stupid
Nigeria na Kenya ni watoto wa shangazi kwa mjomba, hizi nchi hazina usalama kabisaYani ni ujinga uliopitiliza aisee kama treni linawezwa kutekwa sembuse basi la kawaidaa au private car daah uko nigeria aisee hakufai