Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Asante. Natumai Lusematic na Fundi kitasa mumepata masomo kutoka kwa Mtanzania mwenzenu kwamba Waarabu wanawategemea mabeberu hususan USA na UK kwa sector ya ulinzi.
sasa hao waarabu si ndiyo vibonde kwa marekani huwa anawavamia anawapa kichapo na anachukua na mafuta,

ndani ya mioyo ya waarabu kiuhalisia hawawakubali hata kidogo wamarekani ,ila inapokuja kibiashara umetoa mfano wa ununuzi wa siraha kimantiki ni kitu cha kawaida nchi zinazo sambaza siraha kwa kiasi kikubwa duniani zinajulikana hata mataifa yenye uhasama huwa wanafanya biashara tena tofauti tofauti,
ulichokiongea ni kitu cha kawaida kwa huu ulimwengu

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Hii vita ni russia v Ukraine Lakini ukraine anapata Msaada mkubwa sana wa silaha , ela, upelelezi kutoka usa,uk, Europe

Wale wale waliosema Iraq kuna silaha za maangamizi Ndio wameanzisha huu uchokozi wa vita.
Ni wale matajiri wa viwanda vya silaha, matajiri wa viwanda mbalimbali ikiwemo mbole, mafuta, gesi na wakulima wa ngano nk

Uchumi wa dunia utayumba !
mambo mqgumu vita siyo vizuri
20220316_171337.jpg


Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Africa ina watu 1.2 billion. Nigeria ina watu zaidi ya 200 million. Kati ya kila Waafrika sita, mmoja wao ni Mnigeria. Hawa watu kwa kupigana miti wanastahili kupewa kikombe.
Ninyi pamoja na jangwa lenu na ufukara uliowajaa kiasi cha kufa njaa kila siku bado mnaongezeka
 
Watu kama wewe ndio Sumu ya maendeleo ya nchi hii,unafikiri kila mahali ni pakufanyia siasa ,hapa jf esp kwenye hii kenyans section unaweza mdanganya nani? Niletee takwimu yoyote unayo generalize tz imeizidi kenya either kwa GDP, gdp per capita,Human development index,literacy rate,life expectancy bring if any
Usitake wote tukubali kujiona duni kama wewe unavyojiona. Unalishwa matango pori na wewe unabugia tu.
 
Ninyi pamoja na jangwa lenu na ufukara uliowajaa kiasi cha kufa njaa kila siku bado mnaongezeka
waapi? Hata watu milioni hamsini hatujafika. Kwa mujibu wa official data ya KNBS Kenya ina watu 49 million. Huku TZ ikiwa na watu 60 milion. Sasa ni watu gani wanapigana pumbu na kuzaliana hovyo? Sisi waafrika tungepunguza kasi ya kuzaliana basi hata gdp per capita ingeongezeka, kwa maana gdp per capita hutegemea idadi ya watu. Rwanda na size yake ndogo ina watu 10 million huku Norway ambayo ni kubwa ina watu 5 million pekee.
 
waapi? Hata watu milioni hamsini hatujafika. Kwa mujibu wa official data ya KNBS Kenya ina watu 49 million. Huku TZ ikiwa na watu 60 milion. Sasa ni watu gani wanapigana pumbu na kuzaliana hovyo?
Sisi kosa letu ni uchumi mdogo tungekuana uchumi imara hata tungezaliana tukawa million 100 msiongeongea chochote
 
Tatizo ni ka-crown King ni kajeuri na amini akiharibu uhusiano na marekani Saudi Arabia amekwishwa ile Kingdom imadumu mpaka sasa kwa hisani ya first the UK then the US! Tangu mauaji ya kashoggi Turkey mahusiano ni ya kuvimbiana ila ile siku Marekani anaondoa manowari zake Riyadh dola inadondoka!
Anaringia mafuta na wafalme wa Saudi wanajua wamarekani hawawezi kuwaacha maana wakiondoka hao watakuja hardliners ambao watakuwa sio rafiki na marekani na kupelekea marekani kukosa supply ya mafuta toka Saudi na government papers za marekani zitadoda maana saudi ndie mnunuzi mkubwa wa hizi karatasi za serikali ya marekani
 
Back
Top Bottom