Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fuatilia historia ya Tanzania vizuri, tuliwavimbia wazungu hadi tukawafukuza na kufunga balozi zao miaka ya 60s & 70s, walijaribu kututenga kibiashara lakini tulifanikiwa kuvuka hiyo hali kwa support ya China, Russia na Cuba, Leo hii Tanzania ni miongoni mwa nchi chache Sana hapa Afrika zenye uchumi unaokua kwa Kasi kubwa, Amani, umoja na mshikamano, Kamwe usitutishe Wala kutuelekeza lolote kuhusu "International relation", Kenya ni vibaraka wa wazungu
[emoji16][emoji16][emoji16]sahvi tunawahitaji sana,tunakodi midege mikubwa kuwaita waje wawekeze maana tumeshatumia mbinu kibao bado hatujatoka...Nadhani hiki ndio kipondi6cha kugegotiate good deals tukipigwa tena sahvi tutaendelea kudharaulika daima
 
Fuatilia historia ya Tanzania vizuri, tuliwavimbia wazungu hadi tukawafukuza na kufunga balozi zao miaka ya 60s & 70s, walijaribu kututenga kibiashara lakini tulifanikiwa kuvuka hiyo hali kwa support ya China, Russia na Cuba, Leo hii Tanzania ni miongoni mwa nchi chache Sana hapa Afrika zenye uchumi unaokua kwa Kasi kubwa, Amani, umoja na mshikamano, Kamwe usitutishe Wala kutuelekeza lolote kuhusu "International relation", Kenya ni vibaraka wa wazungu
Vijana wadogo hawakuelewi.
 



FN_P-WYX0AA_Fbk




FN_P-9vXEAUO-zc
 
hapa ndo wanapokosea kuweka sehem moja.. waweke hata maeneo ya kinondoni huko .. kuziweka sehem moja haipendezi
wacha complications mzee, kama nafasi ipo Taifa mbona waende sehemu nyingine na pale accessibility ipo vizuri? Sehemu nyingine ina maana new roads, new water n power connections n compensation too! Budget yenyewe ya manati! Yaani waache sehemu BRT itapita na flyovers za kurahisisha connectivity waende Mabwepande sio? Kwani huangaliagi olympic kuona facilities zinawekwa sehemu moja? Au unafikiri sisi ni Dubai tuna pesa za mafuta kujenga sehemu yeyeote ile hata baharini?
 
[emoji16][emoji16][emoji16]sahvi tunawahitaji sana,tunakodi midege mikubwa kuwaita waje wawekeze maana tumeshatumia mbinu kibao bado hatujatoka...Nadhani hiki ndio kipondi6cha kugegotiate good deals tukipigwa tena sahvi tutaendelea kudharaulika daima
munawahitaji au wao ndio wanatuhitaji zaidi 😂😂😂😂 mzee wa GDP
 
America inazidi kuipatia Ukraine silaha mpya. Leo imetangaza kwamba inapeleka silaha worth $800 million huko Ukraine. Ikiwemo 2,000 Javelin ATM. Hizi javelin ndio zimeangamiza tanks nyingi za Russia, pamoja na NLAW ya Britain. Hii vita sioni ikiisha hivi karibuni.


 
haya mjuaji [emoji1787] waiache hapohapo
Mjuaji au facts? nipe economic benefit ya kujenga sehemu tofauti kama Mabwepande kusipo na barabara na connection nzuri na say JNIA (inayoenda kujengwa hotel)! Na kama Olympic committees zinahimiza olympic villages je wewe ushauri wako huoni hauko sustainable?
 
[emoji16][emoji16][emoji16]sahvi tunawahitaji sana,tunakodi midege mikubwa kuwaita waje wawekeze maana tumeshatumia mbinu kibao bado hatujatoka...Nadhani hiki ndio kipondi6cha kugegotiate good deals tukipigwa tena sahvi tutaendelea kudharaulika daima
Who is the biggest investor in Africa now?, Who is the biggest financial lender to Africa?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Fuatilia historia ya Tanzania vizuri, tuliwavimbia wazungu hadi tukawafukuza na kufunga balozi zao miaka ya 60s & 70s, walijaribu kututenga kibiashara lakini tulifanikiwa kuvuka hiyo hali kwa support ya China, Russia na Cuba, Leo hii Tanzania ni miongoni mwa nchi chache Sana hapa Afrika zenye uchumi unaokua kwa Kasi kubwa, Amani, umoja na mshikamano, Kamwe usitutishe Wala kutuelekeza lolote kuhusu "International relation", Kenya ni vibaraka wa wazungu
na kama hawajui,kwa wale waliosoma bible taifa dogp litapiga taifa kubwa,

=Tz

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom