Mimi tu nawaomba msione India na China nchi kubwa
duniani zenye gdp top 10 duniani kwa ukubwa zinakaidi Marekani kisha nyie kanchi kadogo kenye gdp chini ya $100 billion mkadhani mnaweza kupimana uzito wa pumbu kwenye ratili na Marekani. Jaribuni kumtunishia Marekani kifua muone kitakachowapata. Tabia hii yenu mbaya ya kujiona mnaweza kupigana na wazungu ndio imefanya mkakosa investors na muwe na uchumi mdogo na umasikini mwingi. Wacheni kuwa anti-west. Wao wazungu ndio owners of capital katika hii dunia. Hata China kampuni nyingi zinamilikiwa na Wazungu, vivyo hivyo Russia. Mafuta na gesi ya Russia inategemea technology na financing kwa asilimia kubwa kutoka kwa wazungu. Akina Total, Shell, Exon Mobil, BP na Eni ndizo zimewekeza sana kule Russia. Hata kampuni za serikali akina Gazprom, Lukoil na Rosneft bado zinaomba loans kutoka kwa benki za Wazungu. BP na Shell zimewekeza vikubwa Russia ikiwemo kuleta new technology. Russia yenyewe inategemea new technology in oil and gas sector kutoka kwa Wazungu. Experts wengi sana wanaotokea Europe na Marekani wapo Russia kufanya kazi.
Ni kuwadi kama Kunyaland haiwezi kutushauri! Mlishawahi kuvunja uhusiano kufunga ubalozi wa China kwa amri ya mabwana zenu the West! leo hii Mchina anawatia vidole kama hana akili nzuri!
Day Kenya Expelled Chinese Ambassador and Shut Down Embassy
By
Eddy Mwanza on
10 June 2019 - 4:26 pm
Kenya's current number one partner and investor, China, has had a hand in local affairs ever since the country attained independence.
However, relations weren't always as amicable with tension culminating into a tipping point barely three years after independence.
Mzee Jomo Kenyatta suspected that the communist-based nation, alongside Russia, was conspiring behind closed doors with his former deputy-turned-rival,
Jaramogi Oginga Odinga, to oust him.
The US first ambassador to Kenya,
William Attwood, in his book
The Reds and the Blacks maintained that the two communist nations backed Odinga after Kenyatta was rumoured to be turning sterile.
They saw the charismatic leader with a gift for pulling mammoth crowds as the automatic successor once Kenyatta was deemed unfit to rule the nation.
Their sinister plans made their way to Kenyatta's desk prompting him to embark on a mission to root out all conspirators starting with the expulsion of the third secretary in the Chinese embassy,
Yao Chun in March 1966.
“The first indication I had from Kenyatta that he didn’t trust Jaramogi was in mid-June when he called me over to discuss outside financing of Kenya’s politicians. What about Odinga’s subsidies from the Chinese and Russians? I know about them,” an excerpt of the book disclosed.
Mzee Jomo's paranoia was fueled even further on May 17, 1967, when a convoy of 40 trucks loaded with Chinese weapons was intercepted by Kenyan police after they crashed through a roadblock at night in Western Kenya.
This was the final straw and Kenyatta duly evicted six Chinese and Russian diplomats and a couple of journalists posted to Nairobi from the communist bloc countries were ordered out of the country.
Reports by Attwood further divulged that Odinga’s slush fund for the upcoming election was estimated to be more than Ksh15,000,000, much of it in green dollars provided by the Chinese embassy in Dar es Salaam.
It is after learning this that Mzee Jomo then went ahead and ordered for the immediate closure of the Chinese embassy in Kenya on June 1967.
weapon crash suspect
This was the final straw and Kenyatta duly evicted six Chinese and Russian diplomats alongside a couple of journalists posted to Nairobi from...
www.kenyans.co.ke