Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Russia ni wajinga sana kumbe. Wanapark helicopter 18 katika airbase ya Kherson huko Ukraine. Wanachosahau ni kwamba Marekani ana sattelites ambazo zinaweza kuzoom vizuri sana na hio intelligence Marekani anaipatia Ukraine. Sasa Ukraine wamefanya mashambulizi na kulipua helicopter zaidi ya sita. OSINTTechnical ameconfirm kwamba tukio hili lilitokea.

Picha ndio hii hapa.
View attachment 2152617

Russia inadharau sana Ukraine. Inadhani Ukraine haina uwezo wa kufanya mashambulizi makali. Sasa wamepoteza hizi helicopters zote kwa sababu ya ujuha wao.
 
1647418405924.png
 
Those landslide protection walls ni walisindika tope n how about drainage system mbona shoddy work? Mbona same Chinese r doing quality work in Tanzania?
Umeona drainage aje kutoka izo picha? Drainage is good, I was there physically na nikipata muda I'll drive there nikupigie picha
 
Umeona drainage aje kutoka izo picha? Drainage is good, I was there physically na nikipata muda I'll drive there nikupigie picha
Drainage is good according to you tembea uone acha kujificha hapo kibera.
 
kufa kufaana



my take
Tanzania should also line up for that oil bonanza!

CC: Tony254

Chungeni msipigwe sanctions. Wacheni Kimbelembele za ujinga wewe Geza. Kumbuka India ni muhimu kwa Marekani kwa hivyo hawawezi kupigwa sanctions virahisi. wao ni uchumi mkubwa na ni marafiki wa Marekani kwa hivyo wanaweza kupewa sanctions exemption kama walivyopewa sanctions exemption ili waweze kununua S-400 SAM kutoka Russia. Nyie na hio nchi yenu masikini punguzeni kiherehere, mtapitwa sanctions mkuwe pariah state kama North Korea. Sio kila kitu unaona India wanafanya udhani kwamba nyie pia mna ubavu huo. Akili kichwani.
 
Sijui viongozi wetu wanasubiria nn haya ndio madili ya kusaini fasta

View attachment 2152734
Saudi Arabia mjinga sana. Regime hio ya King na Prince Salman zinapatiwa protection na Marekani. SAM missiles, F16 jets na training ya wanajeshi. Bila protection ya Marekani hio kingdom ingekuwa imekwisha zamani. Wamezungukwa na maadui tukianzia Iran kisha kuna Yemeni Houthis. Pia kuna internal revolution inayoweza kutokea ukizingatia kwamba Saudi Arabia wananyanyasa haki za kibinadamu za wananchi wao.
 
Chungeni msipigwe sanctions. Wacheni Kimble as ujinga wewe Geza. Kumbuka India ni muhimu kwa Marekani kwa hivyo hawawezi kupigwa sanctions virahisi. Who ni uchumi mkubwa na ni marafiki wa Marekani kwa hivyo wanaweza kupewa sanctions exemption kama walivyopewa sanctions exemption ili waweze kununua S-400 SAM kutoka Russia. Nyie na hio nchi yenu masikini punguzeni kiherehere, mtapitwa sanctions mkubwa pariah state kama North Korea. Sio kila kitu unaona India wanafanya udhani kwamba nyie pia mna ubavu hio. Akili kichwani.
Hii vita itaisha soon lazima wakae mezani mambo yaishe . Ulaya huko watapata shida ya nishati pia China na India wasipofuata sheria za sanctions. Wenyewe waweka vikwazo watalegea . Fikilia mashabiki wa Chelsea wanaimba jina la abromovich maana wanaona political sanctions zinaua timu yao . Hapa waliopata hasara kubwa ni Ukraine miundombinu mbinu yao mingi imearibiwa
 
Hii vita itaisha soon lazima wakae mezani mambo yaishe . Ulaya huko watapata shida ya nishati pia China na India wasipofuata sheria za sanctions. Wenyewe waweka vikwazo watalegea . Fikilia mashabiki wa Chelsea wanaimba jina la abromovich maana wanaona political sanctions zinaua timu yao . Hapa waliopata hasara kubwa ni Ukraine miundombinu mbinu yao mingi imearibiwa
Mimi tu nawaomba msione India na China nchi kubwa
duniani zenye gdp top 10 duniani kwa ukubwa zinakaidi Marekani kisha nyie kanchi kadogo kenye gdp chini ya $100 billion mkadhani mnaweza kupimana uzito wa pumbu kwenye ratili na Marekani. Jaribuni kumtunishia Marekani kifua muone kitakachowapata. Tabia hii yenu mbaya ya kujiona mnaweza kupigana na wazungu ndio imefanya mkakosa investors na muwe na uchumi mdogo na umasikini mwingi. Wacheni kuwa anti-west. Wao wazungu ndio owners of capital katika hii dunia. Hata China kampuni nyingi zinamilikiwa na Wazungu, vivyo hivyo Russia. Mafuta na gesi ya Russia inategemea technology na financing kwa asilimia kubwa kutoka kwa wazungu. Akina Total, Shell, Exon Mobil, BP na Eni ndizo zimewekeza sana kule Russia. Hata kampuni za serikali akina Gazprom, Lukoil na Rosneft bado zinaomba loans kutoka kwa benki za Wazungu. BP na Shell zimewekeza vikubwa Russia ikiwemo kuleta new technology. Russia yenyewe inategemea new technology in oil and gas sector kutoka kwa Wazungu. Experts wengi sana wanaotokea Europe na Marekani wapo Russia kufanya kazi.
 
Back
Top Bottom