Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Hawa nimezoea. Wanapiga hadi data za serikali yao, WB, IMF, Knight Frank etc😂😂.Hahaha. Sijui kama watarudi baada ya Kiboko hichi. Kwenye infrastructure wapo karibu mwisho huko. Pole yao. Utasikia wanasema kwamba hii data imepikwa.
