Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 75,712
- 107,158
waondoe hizo ngazi za ramps aisee!Dah hivi GDP hii inawezaje kuthubutu yote haya . Wazee wa GDP mpooo!!!!View attachment 2152775
waondoe hizo ngazi za ramps aisee!Dah hivi GDP hii inawezaje kuthubutu yote haya . Wazee wa GDP mpooo!!!!View attachment 2152775
way better than that shoddy work!Do you even have drainage in your roads?
Gdp acha tuwaachie wakenya sisi tunaangalia vitu kwa groundDah hivi GDP hii inawezaje kuthubutu yote haya . Wazee wa GDP mpooo!!!!View attachment 2152775
tuna akiba ya mchele mwingi zaid ya tunayokula
Tangu lini mwarabu akawa na urafiki na mmarekaniSaudi Arabia mjinga sana. Regime hio ya King na Prince Salman zinapatiwa protection na Marekani. SAM missiles, F16 jets na training ya wanajeshi. Bila protection ya Marekani hio kingdom ingekuwa imekwisha zamani. Wamezungukwa na maadui tukianzia Iran kisha kuna Yemeni Houthis. Pia kuna internal revolution inayoweza kutokea ukizingatia kwamba Saudi Arabia wananyanyasa haki za kibinadamu za wananchi wao.
Hawanaga a taste of high standard roads!Izo ndio good roads?[emoji16]
Mi nazungumzia athari za vita vya urusi na Ukraine . Sisi ni hatufungamani na upande wowote kwenye vita vyao acha wenyewe wamalizane . Halafu investor mbona wanakuja day after day hata wiki hii balozi ya Marekani maana ndio watu mnao waamini amesema maridhiano ya kisiasa yanayoendelea ni jambo jema sana .Mimi tu nawaomba msione India na China nchi kubwa
duniani zenye gdp top 10 duniani kwa ukubwa zinakaidi Marekani kisha nyie kanchi kadogo kenye gdp chini ya $100 billion mkadhani mnaweza kupimana uzito wa pumbu kwenye ratili na Marekani. Jaribuni kumtunishia Marekani kifua muone kitakachowapata. Tabia hii yenu mbaya ya kujiona mnaweza kupigana na wazungu ndio imefanya mkakosa investors na muwe na uchumi mdogo na umasikini mwingi. Wacheni kuwa anti-west. Wao wazungu ndio owners of capital katika hii dunia. Hata China kampuni nyingi zinamilikiwa na Wazungu, vivyo hivyo Russia. Mafuta na gesi ya Russia inategemea technology na financing kwa asilimia kubwa kutoka kwa wazungu. Akina Total, Shell, Exon Mobil, BP na Eni ndizo zimewekeza sana kule Russia. Hata kampuni za serikali akina Gazprom, Lukoil na Rosneft bado zinaomba loans kutoka kwa benki za Wazungu. BP na Shell zimewekeza vikubwa Russia ikiwemo kuleta new technology. Russia yenyewe inategemea new technology in oil and gas sector kutoka kwa Wazungu. Experts wengi sana wanaotokea Europe na Marekani wanapenda Russia kufanya kazi.
huyo anaongea fikra zake binafsi kwa kuamini anachokiongea bila ya kuwa na uhakika wa reality kwa groundTangu lini mwarabu akawa na urafiki na mmarekani
Investments ninayozungumzia ni investments kubwa kubwa sio hizo investments ndogo mnazopata kwa sasa. Kwa mfano LNG plant ya $30 billion. Umewahi kujiuliza mbona project yoyote kubwa inakuwa financed na serikali ya Tanzania badala ya investors? Mnahitaji investments nyingi na kubwa kubwa kama mtajitoa kutoka kwa umasikini. The same applies to Kenya. Lazima tuweke mazingira bora ili wakuje na politics ni part of mazingira bora. Mkiwa mnatunisha vifua kwa beberu kila wakati basi sahau investments kubwa kuja kwenu. Siasa na uchumi (politics and economics) ni ndugu na dada. Usidhani kwamba kwa siasa utawadharau mabeberu na kuwachezea siasa chafu kisha kwenye uchumi waje kwa wingi kuwekeza kwenu.Mi nazungumzia athari za vita vya urusi na Ukraine . Sisi ni hatufungamani na upande wowote kwenye vita vyao acha wenyewe wamalizane . Halafu investor mbona wanakuja day after day hata wiki hii balozi ya Marekani maana ndio watu mnao waamini amesema maridhiano ya kisiasa yanayoendelea ni jambo jema sana .
Ebu tuondolee ujinga wenu hapa wakenya mshamuona mzungu mungu Ndio mnawapa mashamba wanalima maua nyinyi mnabakia na njaa hivyo vikwazo walituwekea kwenye jnhp je ijajengwa imejengwaMimi tu nawaomba msione India na China nchi kubwa
duniani zenye gdp top 10 duniani kwa ukubwa zinakaidi Marekani kisha nyie kanchi kadogo kenye gdp chini ya $100 billion mkadhani mnaweza kupimana uzito wa pumbu kwenye ratili na Marekani. Jaribuni kumtunishia Marekani kifua muone kitakachowapata. Tabia hii yenu mbaya ya kujiona mnaweza kupigana na wazungu ndio imefanya mkakosa investors na muwe na uchumi mdogo na umasikini mwingi. Wacheni kuwa anti-west. Wao wazungu ndio owners of capital katika hii dunia. Hata China kampuni nyingi zinamilikiwa na Wazungu, vivyo hivyo Russia. Mafuta na gesi ya Russia inategemea technology na financing kwa asilimia kubwa kutoka kwa wazungu. Akina Total, Shell, Exon Mobil, BP na Eni ndizo zimewekeza sana kule Russia. Hata kampuni za serikali akina Gazprom, Lukoil na Rosneft bado zinaomba loans kutoka kwa benki za Wazungu. BP na Shell zimewekeza vikubwa Russia ikiwemo kuleta new technology. Russia yenyewe inategemea new technology in oil and gas sector kutoka kwa Wazungu. Experts wengi sana wanaotokea Europe na Marekani wapo Russia kufanya kazi.
mind set ya mkenya ndipo ilipoishia hapo,hatukushangai kukuona ukibwabwaja no sense kwa vile fikra zenu ndiyo zimeishia hapo yaani mtafanya yoote ila mwisho wa siku akili yenu inarejea hapo,Mimi tu nawaomba msione India na China nchi kubwa
duniani zenye gdp top 10 duniani kwa ukubwa zinakaidi Marekani kisha nyie kanchi kadogo kenye gdp chini ya $100 billion mkadhani mnaweza kupimana uzito wa pumbu kwenye ratili na Marekani. Jaribuni kumtunishia Marekani kifua muone kitakachowapata. Tabia hii yenu mbaya ya kujiona mnaweza kupigana na wazungu ndio imefanya mkakosa investors na muwe na uchumi mdogo na umasikini mwingi. Wacheni kuwa anti-west. Wao wazungu ndio owners of capital katika hii dunia. Hata China kampuni nyingi zinamilikiwa na Wazungu, vivyo hivyo Russia. Mafuta na gesi ya Russia inategemea technology na financing kwa asilimia kubwa kutoka kwa wazungu. Akina Total, Shell, Exon Mobil, BP na Eni ndizo zimewekeza sana kule Russia. Hata kampuni za serikali akina Gazprom, Lukoil na Rosneft bado zinaomba loans kutoka kwa benki za Wazungu. BP na Shell zimewekeza vikubwa Russia ikiwemo kuleta new technology. Russia yenyewe inategemea new technology in oil and gas sector kutoka kwa Wazungu. Experts wengi sana wanaotokea Europe na Marekani wapo Russia kufanya kazi.
Kuhusu sport complex sifahamu nikidhani ata kwenye ilani haipoGood but Ilifaa majiji yote makubwa kwa kila Kanda kuwa na arena ,afu hakuna sababu za kuwa na arena zinazofanana.
Vipi Kuhusu sports complex?
Hayawi hayawi
Yani huyu hajui tuu nchi za kiarabu na mmarekani haziivi kabisahuyo anaongea fikra zake binafsi kwa kuamini anachokiongea bila ya kuwa na uhakika wa reality kwa ground
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Hii ni ya dom ya dar inaweza kuwa kubwa zaidisafi. ila mim juzijuzi nilikuwa naangalia capacity za arena zilizoko africa baada ya kuona ile ya sénégal na uwanja wao mpya .. kama niko sahihi capacity kubwa ni 20,000.. nikawa nawaza hatuwez kuwa arena ya 25,000 capacity in Dar es Salaam?!!
Tangua mmejiita capitalist wamewasaidia kupata chapooo na githeri? Kuboresha makazi ya watu , kuwalinda na alshabab ?Investments ninayozungumzia ni investments kubwa kubwa sio hizo investments ndogo mnazopata kwa sasa. Kwa mfano LNG plant ya $30 billion. Umewahi kujiuliza mbona project yoyote kubwa inakuwa financed na serikali ya Tanzania badala ya investors? Mnahitaji investments nyingi na kubwa kubwa kama mtajitoa kutoka kwa umasikini. The same applies to Kenya. Lazima tuweke mazingira bora ili wakuje na politics ni part of mazingira bora. Mkiwa mnatunisha vifua kwa beberu kila wakati basi sahau investments kubwa kuja kwenu. Siasa na uchumi (politics and economics) ni ndugu na dada. Usidhani kwamba kwa siasa utawadharau mabeberu na kuwachezea siasa chafu kisha kwenye uchumi waje kwa wingi kuwekeza kwenu.
Tatizo ni ka-crown King ni kajeuri na amini akiharibu uhusiano na marekani Saudi Arabia amekwishwa ile Kingdom imadumu mpaka sasa kwa hisani ya first the UK then the US! Tangu mauaji ya kashoggi Turkey mahusiano ni ya kuvimbiana ila ile siku Marekani anaondoa manowari zake Riyadh dola inadondoka!Saudi Arabia mjinga sana. Regime hio ya King na Prince Salman zinapatiwa protection na Marekani. SAM missiles, F16 jets na training ya wanajeshi. Bila protection ya Marekani hio kingdom ingekuwa imekwisha zamani. Wamezungukwa na maadui tukianzia Iran kisha kuna Yemeni Houthis. Pia kuna internal revolution inayoweza kutokea ukizingatia kwamba Saudi Arabia wananyanyasa haki za kibinadamu za wananchi wao.
ni lini Tz imewatunishia mabeberu pasipo na reason...?Investments ninayozungumzia ni investments kubwa kubwa sio hizo investments ndogo mnazopata kwa sasa. Kwa mfano LNG plant ya $30 billion. Umewahi kujiuliza mbona project yoyote kubwa inakuwa financed na serikali ya Tanzania badala ya investors? Mnahitaji investments nyingi na kubwa kubwa kama mtajitoa kutoka kwa umasikini. The same applies to Kenya. Lazima tuweke mazingira bora ili wakuje na politics ni part of mazingira bora. Mkiwa mnatunisha vifua kwa beberu kila wakati basi sahau investments kubwa kuja kwenu. Siasa na uchumi (politics and economics) ni ndugu na dada. Usidhani kwamba kwa siasa utawadharau mabeberu na kuwachezea siasa chafu kisha kwenye uchumi waje kwa wingi kuwekeza kwenu.
You don't have drainage in any of your highways.way better than that shoddy work!
ThibitishaAre you aware Uganda is ahead of Tanzania in terms of infrastructure development? So acha kutajataja Uganda in the same sentence with Tanzania.