Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio Geza ujuwe kwamba Kenya tunaheshimika. Marekani anaanza kuogopa sana kwamba kutakuwa na machafuko Kenya kwa maana sisi ndio anchor state wa Marekani ukanda huu na hangependa kupoteza rafiki yake. Uganda nao wanalia sana kwamba uchaguzi wa Kenya unaweza kuleta shida ya usafirishaji wa mizigo. Tanzania ilipokuwa na uchaguzi mwaka uliopita, Uganda na Marekani hawakusema lolote. Ndio muendelee kuita Kenya failed state tu ila nchi zingine zinajua baba yao ni nani ukanda huu. Natumai habari umeipata pamoja na hawa watu
joto la jiwe The best 007 ichoboy01
Nimeona youtuber mkenya anasema BRT yenu nauli itakuwa ksh 150 , nikabaki nashang'aa kweli mnateseka sana majirani
 
Ndio Geza ujuwe kwamba Kenya tunaheshimika. Marekani anaanza kuogopa sana kwamba kutakuwa na machafuko Kenya kwa maana sisi ndio anchor state wa Marekani ukanda huu na hangependa kupoteza rafiki yake. Uganda nao wanalia sana kwamba uchaguzi wa Kenya unaweza kuleta shida ya usafirishaji wa mizigo. Tanzania ilipokuwa na uchaguzi mwaka uliopita, Uganda na Marekani hawakusema lolote. Ndio muendelee kuita Kenya failed state tu ila nchi zingine zinajua baba yao ni nani ukanda huu. Natumai habari umeipata pamoja na hawa watu
joto la jiwe The best 007 ichoboy01
sasa tuseme marekani hua anafurahia munavouana na hzo chuki za tribalism? marekani atakua rafiki endapo ana maslahi na ww yakiisha maslahi basi anakua adui hua hana rafiki wa kudumu hio weka akilini
 
tebu ona huyu.......

kwa wadigo, wagiriama, wabajuni, wapokomo, yani kwa wamijikenda kwa ujumla hapa👇🏽 uswahilin
1646859195287 .jpg


mpaka saa ngapi mwanza
 
Ndio Geza ujuwe kwamba Kenya tunaheshimika. Marekani anaanza kuogopa sana kwamba kutakuwa na machafuko Kenya kwa maana sisi ndio anchor state wa Marekani ukanda huu na hangependa kupoteza rafiki yake. Uganda nao wanalia sana kwamba uchaguzi wa Kenya unaweza kuleta shida ya usafirishaji wa mizigo. Tanzania ilipokuwa na uchaguzi mwaka uliopita, Uganda na Marekani hawakusema lolote. Ndio muendelee kuita Kenya failed state tu ila nchi zingine zinajua baba yao ni nani ukanda huu. Natumai habari umeipata pamoja na hawa watu
joto la jiwe The best 007 ichoboy01
Kwa nini unakuwa mshamba namna hii?
 
huku strike, huku hunger and poverty, huku unemployment, huku loan, huku toll fee za mchina 🤣🤣🤣🤣 huku SGR loan white elephant, huku inflation rate iko highTony254 hvi mlirogewa wapi??
 
sasa tuseme marekani hua anafurahia munavouana na hzo chuki za tribalism? marekani atakua rafiki endapo ana maslahi na ww yakiisha maslahi basi anakua adui hua hana rafiki wa kudumu hio weka akilini
Ile 2008 JK aliwaonea huruma akaenda kuwapata nisha jamaa wanaroho mbaya walikua wanakatana mapanga na kuchomana moto hadi kanisani .wamerekani walikua wanakula burger na pizza tu huko kwao .


Yaani wakunya wanapenda kujipa class wakati ki ukweli ni pangu pakavu tia mchuzi . Hadi leo JK wanamwona kama mwokozi wao . Last time wakati anataka kumaliza mda wake alienda bungeni kwao wakawa wanamshangilia kama kuna mechi za mpira za mtaani
 
Simon, bado nipe mmda kiasi, Plan yako li njiani. niko karibu namalizia. kama sio kesho, keshokutwa basi....
meanwhile am confused which to choose for this project between Flat-Roof and Hipped-Roof design... Simons, gani afadhali kaa huu ungekua ni mradi wako

FLOOR PLAN
a 2Bedrm Unit Block, 1Bedrm Unit Block, and a Commercial Block in the facáde, thts replicated 3floors up☝🏽
Screenshot_20220314-223244_Gallery.jpg


Roof gani kali kati ya

HIPPED ROOF👇🏽
mundika02.jpg
mundika01.jpg


na

FLAT-ROOF 👇🏽
mundika07.jpg
mundika06.jpg
 
Back
Top Bottom