The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,616
- 98,847
Ghorofa mbili kushoto mbili kulia, kati mapengo, Africa tunakazi sn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ghorofa mbili kushoto mbili kulia, kati mapengo, Africa tunakazi sn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nimeona youtuber mkenya anasema BRT yenu nauli itakuwa ksh 150 , nikabaki nashang'aa kweli mnateseka sana majiraniNdio Geza ujuwe kwamba Kenya tunaheshimika. Marekani anaanza kuogopa sana kwamba kutakuwa na machafuko Kenya kwa maana sisi ndio anchor state wa Marekani ukanda huu na hangependa kupoteza rafiki yake. Uganda nao wanalia sana kwamba uchaguzi wa Kenya unaweza kuleta shida ya usafirishaji wa mizigo. Tanzania ilipokuwa na uchaguzi mwaka uliopita, Uganda na Marekani hawakusema lolote. Ndio muendelee kuita Kenya failed state tu ila nchi zingine zinajua baba yao ni nani ukanda huu. Natumai habari umeipata pamoja na hawa watu
joto la jiwe The best 007 ichoboy01
Are you aware that Westlands alone has more highrise than entire Dar is slum?Ghorofa mbili kushoto mbili kulia, kati mapengo, Africa tunakazi sn[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Horror movie!Ngoja kdg niwaumize roho mana wame relax sn, wakunya April co mbali [emoji116][emoji116][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2149711View attachment 2149712
Imagine ingekua dar vituko ungeona [emoji28][emoji28]Landing at Wilson Airport
sasa tuseme marekani hua anafurahia munavouana na hzo chuki za tribalism? marekani atakua rafiki endapo ana maslahi na ww yakiisha maslahi basi anakua adui hua hana rafiki wa kudumu hio weka akiliniNdio Geza ujuwe kwamba Kenya tunaheshimika. Marekani anaanza kuogopa sana kwamba kutakuwa na machafuko Kenya kwa maana sisi ndio anchor state wa Marekani ukanda huu na hangependa kupoteza rafiki yake. Uganda nao wanalia sana kwamba uchaguzi wa Kenya unaweza kuleta shida ya usafirishaji wa mizigo. Tanzania ilipokuwa na uchaguzi mwaka uliopita, Uganda na Marekani hawakusema lolote. Ndio muendelee kuita Kenya failed state tu ila nchi zingine zinajua baba yao ni nani ukanda huu. Natumai habari umeipata pamoja na hawa watu
joto la jiwe The best 007 ichoboy01
tebu ona huyu.......eti mwanza inafananishwa na mombasa 🤣🤣
View attachment 2150354View attachment 2150355View attachment 2150356
waliopiga hio hospitali ni jeshi la ukraine kama ulikua huna taarifa walifanya hvo ili wawatie urusi ubayaPutin needs to be tried for war crimes View attachment 2150483
Kwa nini unakuwa mshamba namna hii?Ndio Geza ujuwe kwamba Kenya tunaheshimika. Marekani anaanza kuogopa sana kwamba kutakuwa na machafuko Kenya kwa maana sisi ndio anchor state wa Marekani ukanda huu na hangependa kupoteza rafiki yake. Uganda nao wanalia sana kwamba uchaguzi wa Kenya unaweza kuleta shida ya usafirishaji wa mizigo. Tanzania ilipokuwa na uchaguzi mwaka uliopita, Uganda na Marekani hawakusema lolote. Ndio muendelee kuita Kenya failed state tu ila nchi zingine zinajua baba yao ni nani ukanda huu. Natumai habari umeipata pamoja na hawa watu
joto la jiwe The best 007 ichoboy01
wakazi wa mombasa wa nn cha ajabu zaidi ya umaskini uliokithiri au unafkiri hatuijui mombasa 🤣🤣🤣🤣tebu ona huyu.......
kwa wadigo, wagiriama, wabajuni, wapokomo, yani kwa wamijikenda kwa ujumla hapa👇🏽 (uswahilin) View attachment 2150592
mpaka saa ngapi mwanza
Wapumbavu ndo wali wao!😂😂 Eti magical kenya.. is ol doinyo lengai in Kenya.?
Ile 2008 JK aliwaonea huruma akaenda kuwapata nisha jamaa wanaroho mbaya walikua wanakatana mapanga na kuchomana moto hadi kanisani .wamerekani walikua wanakula burger na pizza tu huko kwao .sasa tuseme marekani hua anafurahia munavouana na hzo chuki za tribalism? marekani atakua rafiki endapo ana maslahi na ww yakiisha maslahi basi anakua adui hua hana rafiki wa kudumu hio weka akilini
Mshamba kisa hajui mnakula udongo?[emoji23][emoji23]