Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

cha ajabu nn sasa hapa?
Nikiwa kama mtanzania na shabiki kindakindaki wa Bongo flavor nafarijika kuona muziki wetu unapasua anga internationally hasa pale ambapo mtanzania mwenetu he/she introducing our music to them westerners.. Our music is our culture.. kutambulika kwa muziki wetu duniani unamaanisha kutambulika kwa mtanzania duniani
 
Geza Ulole eliakeem sasa hivi hapa Nairobi nimeona trucks mbili kila moja imebeba pipes nne za chuma kubwa sana. Diametre pengine ni half a metre. Hizi pipes nashuku zinakwenda Uganda kwenye mradi wa Tilenga. Kwa bahati mbaya nimesahau kupiga picha. Lakini najua zitapita nyingi tu. Nitazipiga picha nikiziona tena.
 
Geza Ulole eliakeem sasa hivi hapa Nairobi nimeona trucks mbili kila moja imebeba pipes nne za chuma kubwa sana. Diametre pengine ni half a metre. Hizi pipes nashuku zinakwenda Uganda kwenye mradi wa Tilenga. Kwa bahati mbaya nimesahau kupiga picha. Lakini najua zitapita nyingi tu. Nitazipiga picha nikiziona tena.
Kiwanda cha pipes kitakua Tabora au Shinyanga na kipo mbioni kujengwa
 
Geza Ulole eliakeem sasa hivi hapa Nairobi nimeona trucks mbili kila moja imebeba pipes nne za chuma kubwa sana. Diametre pengine ni half a metre. Hizi pipes nashuku zinakwenda Uganda kwenye mradi wa Tilenga. Kwa bahati mbaya nimesahau kupiga picha. Lakini najua zitapita nyingi tu. Nitazipiga picha nikiziona tena.

Kwani saa ngapi saa hizi. Usije ukawa unaota. Anyways, za kwenda Tilenga zinaweza kupitia Mombasa, ila baada ya kutoka katika mipaka ya Uganda, hilo sahau.
 
Branding Tzn

Screenshot_20220228-081756.png


Screenshot_20220228-081630.png
 
Back
Top Bottom