Sama boy 255
JF-Expert Member
- Mar 5, 2021
- 13,806
- 41,703
Mwanajeshi wa marakeni mwenyewe asili ya kitanzania akieleza mapenzi yake juu ya Bongo flavor 👇.
Mwanajeshi wa marakeni mwenyewe asili ya kitanzania akieleza mapenzi yake juu ya Bongo flavor 👇.
Keshafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23] Eti magical kenya.. is ol doinyo lengai in Kenya.?
Nikiwa kama mtanzania na shabiki kindakindaki wa Bongo flavor nafarijika kuona muziki wetu unapasua anga internationally hasa pale ambapo mtanzania mwenetu he/she introducing our music to them westerners.. Our music is our culture.. kutambulika kwa muziki wetu duniani unamaanisha kutambulika kwa mtanzania dunianicha ajabu nn sasa hapa?
Aibu imemkumba kafuta, muwe makini na hawa viumbe, ni wezi mno, ukiona kapost picha tofauti na zile zilizozoeleka humu jiridhishe kwanza, elimu yao imewafanya wawe watu wapuuzi, waongo na wasiopenda vitu vyao.[emoji23][emoji23] Eti magical kenya.. kwahyo mmeanza kujimilikisha mpaka vivutio vyetu vya utalii.?
😂😂😂😂 Alikurupuka IamLee mbona sa umefuta ol doinyo lengai.? 😂😂😂 The magic KenyaKeshafuta [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndio wanavyofundishwa mashuleni mwao 😂😂😂.. wameidanganya sana dunia hawa wapuuziAibu imemkumba kafuta, muwe makini na hawa viumbe, ni wezi mno, ukiona kapost picha tofauti na zile zilizozoeleka humu jiridhishe kwanza, elimu yao imewafanya wawe watu wapuuzi, waongo na wasiopenda vitu vyao.
Hii standard sio ya mchezomchezo, just imagine hata india mwaka huu ndio wameanza kutumia sgr inayozidi 120km/hVipi hapo ni nchi gani ya Ulaya?
Kiwanda cha pipes kitakua Tabora au Shinyanga na kipo mbioni kujengwaGeza Ulole eliakeem sasa hivi hapa Nairobi nimeona trucks mbili kila moja imebeba pipes nne za chuma kubwa sana. Diametre pengine ni half a metre. Hizi pipes nashuku zinakwenda Uganda kwenye mradi wa Tilenga. Kwa bahati mbaya nimesahau kupiga picha. Lakini najua zitapita nyingi tu. Nitazipiga picha nikiziona tena.
Geza Ulole eliakeem sasa hivi hapa Nairobi nimeona trucks mbili kila moja imebeba pipes nne za chuma kubwa sana. Diametre pengine ni half a metre. Hizi pipes nashuku zinakwenda Uganda kwenye mradi wa Tilenga. Kwa bahati mbaya nimesahau kupiga picha. Lakini najua zitapita nyingi tu. Nitazipiga picha nikiziona tena.
Jamaa kapatwa na kifafa cha akilimumeona makupa bridge dar kwisha 😂😂