Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Geza Ulole eliakeem sasa hivi hapa Nairobi nimeona trucks mbili kila moja imebeba pipes nne za chuma kubwa sana. Diametre pengine ni half a metre. Hizi pipes nashuku zinakwenda Uganda kwenye mradi wa Tilenga. Kwa bahati mbaya nimesahau kupiga picha. Lakini najua zitapita nyingi tu. Nitazipiga picha nikiziona tena.
Hata huku Dar pipes kama hizo zinapita nyingi sana kila siku toka bandari
 
Visit Tanzania in action
Screenshot_20220314-160714_Instagram.jpg
 
Hahah si wame-confiscate mali za Oligarchies yaani yatches? Sasa Russia inalipa all those Boeings and Airbuses! I hope KQ dreamliners haziko Russia?
Mali nyingi ya Russia iko nje ya Russia na yote imezuiwa so watakata huko juu kwa juu tuu
 
Hatuangalii ndege mkuu ila hela ndefu nikimaanisha reserves za Russia
ahh wapi russia sio mjinga hvo bro hvi vita alisha plan muda mtefu sana na alishajua hzi vikwazo vitakuwepo ndio maana hata viwanda vilivyoathirika urusi amesema vitanunuliwa na serekali ya russia
 
Back
Top Bottom