joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,111
- 46,621
Uchaguzi wa Kenya unafuatiliwa kwasababu ya" Election violence", Waganda wanakumbuka hasara waliyopata 2007, hadi Leo bado hawajalipwa fidia.Ndio Geza ujuwe kwamba Kenya tunaheshimika. Marekani anaanza kuogopa sana kwamba kutakuwa na machafuko Kenya kwa maana sisi ndio anchor state wa Marekani ukanda huu na hangependa kupoteza rafiki yake. Uganda nao wanalia sana kwamba uchaguzi wa Kenya unaweza kuleta shida ya usafirishaji wa mizigo. Tanzania ilipokuwa na uchaguzi mwaka uliopita, Uganda na Marekani hawakusema lolote. Ndio muendelee kuita Kenya failed state tu ila nchi zingine zinajua baba yao ni nani ukanda huu. Natumai habari umeipata pamoja na hawa watu
joto la jiwe The best 007 ichoboy01
Kitu pekee kinachosababisha uchaguzi wa Kenya kushika vichwa vya habari ni kwasababu ya historian ya fujo na mauaji wakati wa uchaguzi. Wewe mwenyewe unajua kwamba mwaka huu wote hakuna investors wanaokuja Kenya hadi uchaguzi umalizike