Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Dar is slum can't be this clean.

20220314_191239.jpg
 


CC: Tony254 yale mabomba yatakuwa ya kuziba leakage Nyanza!
Ndio Geza ujuwe kwamba Kenya tunaheshimika. Marekani anaanza kuogopa sana kwamba kutakuwa na machafuko Kenya kwa maana sisi ndio anchor state wa Marekani ukanda huu na hangependa kupoteza rafiki yake. Uganda nao wanalia sana kwamba uchaguzi wa Kenya unaweza kuleta shida ya usafirishaji wa mizigo. Tanzania ilipokuwa na uchaguzi mwaka uliopita, Uganda na Marekani hawakusema lolote. Ndio muendelee kuita Kenya failed state tu ila nchi zingine zinajua baba yao ni nani ukanda huu. Natumai habari umeipata pamoja na hawa watu
joto la jiwe The best 007 ichoboy01
 
Back
Top Bottom