Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

yani jinsi wanavyo isifu dar na muundo misingi yao, utadhani ulaya, ila dar uipate kwenye orodha fupi kama hii itakua ni bonge la shock 😳💥💥.!!
Screenshot_20220306-040914_Gallery.jpg
 
"Afrika haitokaa iwe HURU. Waafrika wanawaamini Wazungu, Wamarekani na Wachina zaidi kuliko wanavyojiamini wao wenyewe....hawajiamini wao wenyewe hata kidogo.

Mtu mweupe anafanya makosa Afrika tena makosa ya jinai ila hakuna hatua za kisheria zitakazochukuliwa dhidi yake kwa sababu mamlaka za Afrika zinatutazama sisi weupe kama miungu, jambo ambalo liko mbali sana na ukweli.

Mtu mweusi (Mwafrika) anaweza kuteswa, kunyanyaswa na hata kuuawa kinyama Ulaya lakini hakuna mamlaka yoyote ya Afrika inayoweza kuuliza wala kuhoji.

Waafrika wamejikubali na kuamini kuwa wao ni watu DHAIFU wasio na tumaini haswa linapokuja suala la kupambana na Wazungu, Wamarekani na Wachina. Mzungu, Mmarekani au Mchina anaweza kumdhalilisha, kumtukana, kumpiga na hata kumuua Mwafrika katika ardhi ya Afrika tena kwenye nchi yake au nje ya Afrika na Viongozi wa Afrika wataliona hilo na kila mmoja atajiweka kana kwamba hakuona wala kusikia.

Adui wa Mwafrika ni Mwafrika. Mwafrika mpe silaha, pesa au ahadi ya madaraka madogo tu kwa sharti moja tu la kumuua Mwafrika mwenzake, atamuua kinyama kuliko ulivyotarajia. Adui wa Mwafrika sio mzungu, sio Mmarekani wala sio mchina. Adui wa Mwafrika ni AKILI na fikra zake na ndio maana leo Wazungu, Wamarekani, Waarabu na Wachina wameitawala tena Afrika kwa kutumia dini, Elimu, uchumi, teknolojia, siasa na utamaduni.

Waafrika ni watu wanaochukiana na wasioaminiana na ndio maana Afrika haiwezi kuungana na haitokaa iungane kuwa na dola imara. Chuki ya wenyewe kwa wenyewe na utengano ndio inayowapa wakoloni wao nguvu ya kuendelea kunyonya rasilimali za Afrika."



Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Hapa umeigusa Kenya "by 90%. Kenya Hutumiwa na wazungu kuivuruga Afrika. Kipindi cha ukombozi kusini mwa Afrika, Kenya ilitumiwa na wazungu kuwakandamiza waafrika.
 
Hapa umeigusa Kenya "by 90%. Kenya Hutumia na wazungu kuivuruga Afrika. Kipindi cha ukombozi kusini mwa Afrika, Kenya ilitumiwa na wazungu kuwakandamiza waafrika.
na bado itaendelea kutumiwa milele sababu hawajitambui,

siumeona unreasonable ya Tony ya kulamba miguu wazungu ili upate kitu ,yaani unreasonable yake imebeba picha halisi ya wakenya wote kuwa 98% ya wakenya ndiyo wapo hivyo kuanzia viongozi wa kiserikali mpaka wananchi wakawaida..

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
my unpopular & unnecessary opinion kuhusu Russia-Ukraine War, hakuna namna Putin atakubali kushindwa kwenye hii war.. akishindwa hata ushawishi wake utapungua.. so by any means, either hata ukraine kukubali kushindwa, Russia au Putin watashinda hii vita.. sijui kwa mda gan lkn Russia wataibuka washindi au wababe, na mkumbuke Putin ana backup ya nuclear weapons
Hivi hio nuclear weapon Russia anayo Peke yake? Kwamba yeye kuwa na warhead 7,000 hizo 6,800 za USA haziwezi kumletea madhara? Anaweza kuichakaza Ukraine na bado akawa ameshindwa hio vita. Acha muda utatuambia.
 
Hivi hio nuclear weapon Russia anayo Peke yake? Kwamba yeye kuwa na warhead 7,000 hizo 6,800 za USA haziwezi kumletea madhara? Anaweza kuichakaza Ukraine na bado akawa ameshindwa hio vita. Acha muda utatuambia.
Tatizo lililopo in the last 20 years the West i.e. NATO members economic systems have increasingly been heavily dependent n deeper entrenched on Russian resources i.e. economy completely aligned to Russia Federation to an extent of Putin now calling the shots.

Therefore they look at this crisis in the eyes of war beyond Ukraine n it's consequences i.e. colossal losses as the least they will get in the aftermath of huge economic destruction is China's coronation as unchallenged global economical super power!

FYI They will be no more EU if war is to start with NATO involvement. For them they will rather let Ukraine be occupied. Let Ukrainians understand that n stop being to hopefully! The other thing is a mistrust between the US n the UK in one hand n the EU in the other hand. Believe me the US n her crime partner the UK r silently anti-EU.

What to be further noticed; even the UK with her own reserves is not an exception from european addiction to Russia's resources.


 
once again we kenyans do pray for the better 🧎‍🧎‍
View attachment 2140568
Kabla ya kuchukua maamuzi katika ngazi za kimataifa, ni vizuri viongozi wa Kenya kuomba ushauri toka Tanzania, kwasababu Kenya hamko vizuri katika kufikia maamuzi ya busara, hili ni tatizo la Kenya kuanzia rais wenu wa kwanza, bado linaendelea hadi Leo.
 
Back
Top Bottom