Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

mpuuzi ni nyanyako.... Alichosema mtoa post kiliambatana na picha moja ya escalator, eti kwamba hio ni bus terminal na sio airport...

Yaani Kwa ushamba wake escalator inapatikana JNIA pekee kwahivyo ni maajabu makuu kwamba bus terminal ya Tz iko na escalator! Ndo mi nikamjibu kwamba escalators huku kwetu hua tukienda supermarket tunaachilia watoto wazichezee, hicho si kitu cha kuringia mtu.
Ndio, escalators kuzikuta kwenye office buildings, hotels, malls and airports or even in railway stations ni vitu vya kawaida, but sio kawaida kabisa kukutana na escalators kwenye bus terminals hususan hapa EA, na ni ukweli kwamba ni kwenye bus terminals za Tanzania tu ndio unaweza kukutana na escalators.. sasa ulitakiwa utu prove wrong by showing us them escalators in your so called ultra modern state of art bus terminus in Nairobi ..

Haya twende kazi 😂😂😂
 
Ndio, escalators kuzikuta kwenye office buildings, hotels, malls and airports or even in railway stations ni vitu vya kawaida, but sio kawaida kabisa kukutana na escalators kwenye bus terminals hususan hapa EA, na ni ukweli kwamba ni kwenye bus terminals za Tanzania tu ndio unaweza kukutana na escalators.. sasa ulitakiwa utu prove wrong by showing us them escalators in your so called ultra modern state of art bus terminus in Nairobi ..

Haya twende kazi

Ati Ultra modern state of art bus terminus!
 
Ndio, escalators kuzikuta kwenye office buildings, hotels, malls and airports or even in railway stations ni vitu vya kawaida, but sio kawaida kabisa kukutana na escalators kwenye bus terminals hususan hapa EA, na ni ukweli kwamba ni kwenye bus terminals za Tanzania tu ndio unaweza kukutana na escalators.. sasa ulitakiwa utu prove wrong by showing us them escalators in your so called ultra modern state of art bus terminus in Nairobi ..

Haya twende kazi 😂😂😂
umeme umekatika upande wa pili!
 
I 📸
🔰 UDOM

udomfame_1646494418632.jpg


udomfame_1646494681177_0.jpg


udomfame_1646494625883.jpg


udomfame_1646494735655_0.jpg
 
Kichaa usiwe unatukana watu hovyo mbwa wewe, haujui chochote kuhusu US kunizidi, kuanzia history mpaka what's going on currently, roho inakuuma sisi kuwa na high speed rail way ambayo uko kwenu hakuna and you will never have it till them last days of the world.? Tako wewe.? Pitia hapa upate elimu ya high speed rail road vile inafaa kuwa 👇View attachment 2139255

Mizinga yenu ya chang'aa isikutie wivu wa kuchukia nchi zinazoendea maendeleo ya kweli na sio ubabaishaji

Yani wewe bahati yako nilikua busy sana kutwa nzima, ila ungenitambua leo Chizi wewe.. soma hapa upate elimu ya high speed Railway 👇View attachment 2139253alafu nakuuliza, reli yetu si high speed Railway.? 👇View attachment 2139254
B!tch please...
Carry on satisfying your ego, won't change a thing.
 
NATO's tail between the legs!




Tony254 do u get the sense now why Tanzania decided to abstain voting in favor of any of the sides of the Ukraine crisis? What is Russia Federation inaamua kuwachapa? do u think NATO itakuja kuwa-rescue?

Jamaa Wana kimbelele sana hawa, wataangukia pua.. ona faida tunazopata sisi kwa kuchagua kuwa smart na sio viherehere. Watoto wetu 150 waliokwama uko kwenye mji wa Sumy UKRAINE wameruhusiwa kuvuka kuelekea Russia, na serikali ya Russia imeahidi kuwapatia escort ya kijeshi mpaka watakapofika RUSSIA kwenye mji wa Belgorod tayari kwa hatua zingine za kuwaridisha nyumbani kufuatwa 👇
millardayo_1646493407346805.jpg
millardayo_1646493407346535.jpg
haya bwana Tony uje Hapa Tony254 ujifunze kuwa sisi ni taifa la watu wenye akili timamu zaidi hapa EA, hatufuati mikumbo, we know what we want.. endeleeni kuwaramba miguu mabeberu watoto wenu watakoma uko Ukraine kwa vichapo vya mrusi 😂😂😂 na ubaguzi wa rangi juu, watajua hawajui 😂😂
 
Ndugu zetu wa north a.k.a time travellers, you guys are traveling back in those days 😂😂😂 mavitu CCM wamejenga kila mkoa miaka mingi iliyopita, nyie mnajenga leo .. it's about the time u guys need to build modern football stadium, sio hizi vitu mnajenga wajameni
Ukisema Modern unamaanisha nini?Ngojea uwanja umalizwe..
 
Marekani tayari ilishapiga sanction Russia... Yani hakuna nchi kufanya biashara na Urusi (ikiwemo Tanzania) so hapo tayari ilikua hatuezi kufanya biashara na Urusi (not unless tunataka kupigwa sanction)
aliyekuambia kuwa Tz haitofanya biashara na Russia ni nani?

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Jaribu kufanya biashara na Russia sahii uone kama uchumi wenu hamtauokota 1963
aliyekuambia kuwa hatufanyia nao biashara ni nani...?
na umejuaje kuwa hatufanyi nao biashara kwa sasa?,,unaweza kututhibitishia kwa kithitisho chochote yakinifu kinachoonyesha kuwa hatufanyi nao biashara kwa sasa?

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom